Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba nafasi mbalimbali kujaza nafasi wazi katika Halmashauri ya wilaya ya Iramba kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 23/05/2018-25/05/2018 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi kwa waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.
Kwa kujua majina yawaliofanikiwa kuitwa kwenye Usaili huo, Bofya TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI .pdf
KIOMBOI, IRAMBA
Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA
Telephone: 026 - 2532253
Mobile: 026 - 2533001
Email: ded.irambadc@singida.go.tz
Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.