• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Finance and Business Dept

TAARIFA YA IDARA YA FEDHA NA BIASHARA

Idaraya fedha ni idara inayojishughulisha na usimamizi wa ukusanyaji wa mapato namatumizi ya fedha katika halmashauri, na kutoa ushauri wa namna bora yamatumizi ya fedha.

Katikakusimamia huko inahakikisha kunakuwa na mfumo thabiti wa udhibiti wandani(lnternal control system)Ambao pamoja na kuzingatia masuala ya kiutendajipia unalenga katika kuangazia taratibu nzima za kifedha za halmashauri,Lakinipia ina kazi ya kuwasilisha taratibu za kifedha kwenye kamati ya fedha kwaajili ya mapitio,pia kuhakikisha kunakuwa na udhibiti wa kutosha wa mali zahalmashauri pamoja ne fedha, hii ikiwa ni kuwa na mpango kazi mzuri wawafanyakazi na utawala ndani ya idara ya fedha,Nakuishauri halmashauri katikamasuala yote yanayohusuyo mambo ya fedha.

Idaraya fedha ina jumla ya vitengo 4, Ambavyo ni: Kitengo cha mishahara, kitengo chamapato, kitengo cha matumizi, na kitengo cha taarifa za mwisho za mahesabu yahalmashauri (Final account), Kazi za vitengo hivyo ni kama ifuatavyo;

I: MATUMIZI

(i)Kuandaamalipo yote

(ii)KuandaaBajeti ya matumizi ya kawaida,

(iii)Kuhakikishauwepo wa nyaraka zote za malipo kabla na baada ya kulipa, (iv)Kuhakikishataratibu na sheria za kifedha zinatekelezwa,

(v)kuhakikishakuwepo na majalada ya kumbukumbu kwa malipo yaliyolipwa,

(vi)Kufanyausaili wa kimahesabu kati ya benki na vitabu vya kumbukumbu vya halmashauri.

(vi)Kuandaataarifa za fedha na kuziwasilisha sehemu husika kwa wakati.

2: MAPATO

(i)Kuhakikishainakusanya mapato yote ya halmashauri,

(ii)Kuhakikishakuna udhibiti mzuri wa mapato ya Halmashauri,

(iii)Kupelekafedha taslimu na hundi benki

(iv)Kuandaaripoti mbalimbali na kuziwasilisha sehemu husika, (v)Kuweka utaratibu rahisi wamalipo ya fedha taslimu kwa wateja,

(vi)Kubunivyanzo vipya vya mapato,

3: MlSHAHARA

(l)Kuandaaorodha ya watumishi kwa ajili ya kulipwa mishahara

(ii)Kutunzaorodha ya watumishi wanaolipwa mishahara na kutunza kumbukumbu za makatoyakatwayo watumishi kwenye mishahara yao

(iii)Kuandaabajeti ya mishahara kwa watumishi

(iv)Kuandaataarifa mbalimbali za mishahara na kupeleka sehemu husika

(v)Kushughulikiamatatizo yote ya mishahara inayotokea kwa watumishi

4: KITENGO CHA TAARIFA ZA KIMAHESABU (Final account)

(i)Kuandaausuluhisho wa taarifa za cashbook zinatunzwa halimashauri na zile zilizopobenki

(ii)Kujibu hoja za ukaguzi (iii)Kuanda taarifa za mapato na matumizi

(iv)Kutunzacashbook.

Idaraya fedha ina jumla ya wataalamu 9 ambao wako makao makuu ya Halmashauri.

Tangazo

  • WAHI NAFASI YA AJIRA August 19, 2021
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2018 HALMASHAURI YA WILAYA IRAMBA January 05, 2019
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2018 January 05, 2019
  • TANGAZO LA KULIPA KODI YA ARDHI. February 26, 2018
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI WAPANDA MITI 3500 KATA YA MGONGO

    March 09, 2023
  • PIKIPIKI SITA ZAKABIDHIWA KWA WATENDAJI WA KATA.

    March 09, 2023
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI WILAYANI IRAMBA

    March 08, 2023
  • ZIARA YA WAH MADIWANI WAJUMBE WA KAMATI YA FEDHA, MIPANGO NA UTAWALA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO TAREHE 23 JANUARI, 2023

    January 23, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.