• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Maadhimisho ya kilele cha wiki ya maji kimkoa yaliyofanyika kijiji cha ntewa kata ya kituntu wilaya ya ikungi. Kauli mbiu “hifadhi maji na mfumo wa kiikolojia kwa maendeleo ya jamii”.

Posted on: March 22nd, 2018

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Singida Mwandisi. Jackson Masaka akiwa na Viongozi mbali mbali kutoka Singida Manispaa, Halmashauri ya Wilaya ya Iramba,Halmashauri ya Wilaya ya Singida, Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Halmashauri ya Wilaya ya Itigi, Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi na wananchi wa kata ya Kituntu Wilayani Ikungi wameadhimisha Kilele cha wiki ya maji Kimkoa yaliyofanyika kijiji cha Ntewa Kata ya Kituntu Wilaya ya Ikungi. Kauli Mbiu “HIFADHIMAJI NA MFUMO WA KIIKOLOJIA KWA MAENDELEO YA JAMII”.

Shughuli izi za Maadhimisho ya Kilele cha wiki ya maji zimeanza kwa uzinduzi wa Kiosk cha maji katika eneo la Bima kilichojengwa na mamlaka ya maji na maji taka Singida mjini. Kiosk hiki kimeziduliwa na  Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt. Angelina M. Lutambi.

Maadhimisho ya kilele cha wiki ya Maji ufanyika Tarehe 22/3 kila mwaka Nchini Tanzania. Aidha Asilimia ya 44.3 ya wakazi  waishio vijijini katika Mkoa wa Singida wanapata huduma ya maji safi na salama. Idadi ya Vituo vya kuchotea maji,Singida Manispaa ina Idadi ya vituo 251,Halmashauri ya Wilaya ya Iramba ina idadi ya vituo 719. Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama ina idadi ya vituo 468,  Halmashauri ya Wilaya ya Singida  ina vituo 716, Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni ina vituo 492,  Halmashauri ya Wilaya ya Itigi ina idadi ya vituo 127 na Halmashauri ya Wilaya ya  Ikungi ina idadi ya vituo 766, 

Kaimu mkuu wa Mkoa amewapongezi waandisi wote wa Halmashauri za Wilaya zote za Mkoa wa Singida kwa kutekeleza Miradi mbali mbali ya Maji Mkoani Singida. Pia amewashukuru wananchi kwa ushirikiano wa kuadhimisha kilele cha wiki ya maji Wilayani Ikungi Mkoa wa Singida.

Vile Vile Amewashauri kuacha kukata miti ili kuwa namazingira bora. Amewaasa wananchi wa Kata ya kituntu kutupa shoka na kukamatamzinga kwa ajili ya kufuga nyuki ili kutunza mazingira, Kupata mvua ya kutoshapia kuifadhi mfumo wa maji kwa maendeleo ya jamii.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.