• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

RC. SERUKAMBA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ZAIDI YA 30 INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA IRAMBA

Posted on: May 17th, 2023

RC. SERUKAMBA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ZAIDI YA 30 INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA IRAMBA

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Gunna Maziku.ameagizwa ,Kuhakikisha anakutana na wakuu wa idara na kupanga namna ya kusimamia na kuelekeza nguvu zaidi kwenye miradi inayosuasua, Ili Kuhakikisha ifikapo Juni 30 Miradi hiyo iwe imekamilika.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Joseph Serukamba baada ya Kutembelea na Kukagua miradi ya Maendeleo zaidi ya 30 inayotekelezwa Wilayani humo.Mei 16 na 17 Mwaka huu.

RC Serukamba amewahimiza Viongozi na wasimamizi wa miradi hiyo kuhakikisha wanakamilisha miradi hiyo kwa wakati uliopangwa na hasa kabla ya Juni 30 Mwaka huu.

Katika miradi ambayo, Inahitajika kumalizika haraka kwa lengo la kutorudishwa kwa fedha za serikali kabla ya Mwaka Mpya wa Fedha kuanza ni pamoja na miradi ya Shule Mpya zinazojengwa ambazo ni za Mradi wa BOOST hasa kwa Shule za Msingi kwa lengo la Kuhakikisha watoto wote wamepata haki ya kusoma na kuondoa mdondoko wa KKK 3 yaani kusoma,kuandika na kuhesabu.

 Serukamba akiwa katika ziara yake Wilayani Iramba amekagua miradi ya ujenziwa Barabara na madaraja , Amekagua Zahanati, Matundu ya vyoo katika Zahanati, Matundu ya vyoo vya Shule za Sekondari na Msingi,

Madarasa kwa Shule za Msingi, Mabweni kwa Shule za Sekondari, Bwalo la chakula kwa Shule za Sekondari pamoja na Kituo cha Walimu cha TRC.

Aidha miradi hiyo mpaka ikamilike inatarajia kutumia zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 8.8 ambapo mpaka sasa zimetumika zaidi ya Shilingi Bilioni 4.2 na bado miradi hiyo inaendelea kutekelezwa kulingana na Matakwa ya serikali.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Gunna Maziku, yeye kwa upande wake amesema kuwa, wao kama Halmashauri watahakikisha wanasimamia kwa ufanisi mkubwa miradi hiyo na Kuhakikisha imekamilika kwa wakati; hasa Juni 10 hadi Juni 20 Mwaka huu.

Announcements

  • TANGAZO KUHUSU UJIO WA MADAKTARI BINGWA HOSPITALI YA WILAYA YA IRAMBA-KIOMBOI February 20, 2026
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.