• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

RC. SERUKAMBA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ZAIDI YA 30 INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA IRAMBA

Posted on: May 17th, 2023

RC. SERUKAMBA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ZAIDI YA 30 INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA IRAMBA

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Gunna Maziku.ameagizwa ,Kuhakikisha anakutana na wakuu wa idara na kupanga namna ya kusimamia na kuelekeza nguvu zaidi kwenye miradi inayosuasua, Ili Kuhakikisha ifikapo Juni 30 Miradi hiyo iwe imekamilika.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Joseph Serukamba baada ya Kutembelea na Kukagua miradi ya Maendeleo zaidi ya 30 inayotekelezwa Wilayani humo.Mei 16 na 17 Mwaka huu.

RC Serukamba amewahimiza Viongozi na wasimamizi wa miradi hiyo kuhakikisha wanakamilisha miradi hiyo kwa wakati uliopangwa na hasa kabla ya Juni 30 Mwaka huu.

Katika miradi ambayo, Inahitajika kumalizika haraka kwa lengo la kutorudishwa kwa fedha za serikali kabla ya Mwaka Mpya wa Fedha kuanza ni pamoja na miradi ya Shule Mpya zinazojengwa ambazo ni za Mradi wa BOOST hasa kwa Shule za Msingi kwa lengo la Kuhakikisha watoto wote wamepata haki ya kusoma na kuondoa mdondoko wa KKK 3 yaani kusoma,kuandika na kuhesabu.

 Serukamba akiwa katika ziara yake Wilayani Iramba amekagua miradi ya ujenziwa Barabara na madaraja , Amekagua Zahanati, Matundu ya vyoo katika Zahanati, Matundu ya vyoo vya Shule za Sekondari na Msingi,

Madarasa kwa Shule za Msingi, Mabweni kwa Shule za Sekondari, Bwalo la chakula kwa Shule za Sekondari pamoja na Kituo cha Walimu cha TRC.

Aidha miradi hiyo mpaka ikamilike inatarajia kutumia zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 8.8 ambapo mpaka sasa zimetumika zaidi ya Shilingi Bilioni 4.2 na bado miradi hiyo inaendelea kutekelezwa kulingana na Matakwa ya serikali.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Gunna Maziku, yeye kwa upande wake amesema kuwa, wao kama Halmashauri watahakikisha wanasimamia kwa ufanisi mkubwa miradi hiyo na Kuhakikisha imekamilika kwa wakati; hasa Juni 10 hadi Juni 20 Mwaka huu.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.