• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 271 ZIMETUMIKA KUJENGA ZAHANATI YA KIJIJI CHA WEMBERE ILIYOPO KATA YA SHELUI, TARAFA YA SHELUI WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA.

Posted on: August 31st, 2023

ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 271 ZIMETUMIKA KUJENGA ZAHANATI YA KIJIJI CHA WEMBERE ILIYOPO KATA YA SHELUI, TARAFA YA SHELUI WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Innocent S Msengi;  Amezindua rasmi Zahanati ya Kijiji cha Wembere  Kata ya Shelui Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba Zahanati ambayo inakusudiwa kuhudumia wananchi wapatao 2,1,06 katika Kijiji hicho Cha Wembere.


 Aidha Msengi,Akiwahutubia wananchi waliojitokeza kwa wingi, kwa lengo la kushuhudia uzinduzi wa Zahanati hiyo amewataka wananchi hao kuhudhuria kikamilifu na Kupata matibabu katika Zahanati hiyo, kwani kwa sasa changamoto ya kufuata matibabu kwa mwendo mrefu umeisha.


Msengi  Amesema kuzinduliwa kwa Zahanati hiyo kutaondoa  kabisa vifo vya akina Mama na watoto  ambao walikuwa wanayapata  wakati wanafuata Matibabu Shelui au Mtoa  na halikadhalika katika Hospitali ya Wilaya.


Mwenyekiti huyo wa Halmashauri, Amesema kwa sasa vifo vya akina mama vitapungua kwa asilimia kubwa  kutokana na kukamilika kwa Zahanati nyingi katika vijiji Wilayani Iramba, lakini pia pindi vituo vya Afya vya Mtoa, na Shelui vitakapokamilika vitafanya vifo vya mama na mtoto kuwa ni historia katika Wilaya ya Iramba.


Aidha Msengi  amebainisha kuwa Mpaka sasa,Tayari Tsh. Milioni 280 zimeletwa kumalizia Kituo cha Afya Mtoa, Huku jumla ya Tsh.Milioni 120 zimeingia tayari kwa ajili ya Kukamilisha Kituo Cha Afya Shelui, na kuongeza kuwa tayari shilingi Milioni 200 zimeletwa Kukamilisha ujenzi wa  Zahanati ya Kinambeu  Ili kuhudumia wananchi wa eneo hilo.na wiki iliyopita zahanati hiyo imeanza kutoa huduma


Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya ya Iramba Dkt. Hussein Sepoko amesema  Zahanati ya Wembere  imekamilika na tayari imepewa  Vifaa tiba vyenye thamani ya Shilingi  Milioni 100 huku wahudumu wa Afya wawili tayari wamefika  kwa ajili ya kuwahudumia wananchi.


Aidha wananchi wa Kijiji hicho wameishukuru serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na mama Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali kuhusiana na Afya zao na sasa wamepona kilio chao cha muda mrefu


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA April 29, 2023
  • Kampuni ya EACOP imeanza usajili na mafunzo ya online kwa wiki 8 yatakayofwatiwa na mtihani wiki ya 9 kwa ajili ya kupata vijana 140 wenye umri kati ya miaka 18-28 June 05, 2023
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2018 HALMASHAURI YA WILAYA IRAMBA January 05, 2019
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2018 January 05, 2019
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amepokea rasmi Mbio za Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Tabora na aliyekabidhi ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Batlida Briani.

    September 22, 2023
  • MKIMBIZA Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Abdalla Shaibu Kaim amewataka Watanzania kuhakikisha wanakemea vitendo vya rushwa kwa maelezo kuwa rushwa inakwamisha maendeleo ya Mkoa pamoja na Taifa kwa ujumla

    September 22, 2023
  • MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA TSH BIL. 4.151 WILAYANI IRAMBA MKOANI SINGIDA; IMEFUNGULIWA NA MINGINE KUWEKEWA MAWE YA MSINGI NA MWENGE WA UHURU SEPTEMBA 22 MWAKA HUU.

    September 23, 2023
  • KITUO CHA AFYA TYEGELO CHAZINDULIWA RASMI TAYARI KWA AJILI YA KUANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA NA KUPUNGUZA CHANGAMOTO ZA AFYA KWA WANANCHI KAMA SIYO KUZIONDOA KABIS

    September 18, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.