• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Administration and Human Resource Dept

IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALI WATU

UTANGULIZI:

Halmashauri ya Wilaya ya Iramba ina jumla ya Tarafa 4, Kata 20, Vijiji 78, Vitongoji 392, Idara13, Vitengo 6 na jimbo moja (01) la Uchaguzi ambalo ni Iramba.

Halmashauri ya Wilaya ya Iramba ina jumla ya watumishi 1745. Ambapo watumishi hawa wamegawanyika katika Makundi Mawili waliopo Makao Makuu ya Halmashauri na waliopo sehemu za kutolea huduma kama Hospitali , Zahanati , Shule , Ofisi za Kata na vijiji.

IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALI WATU:

Idara ya Utawala  ni kiunganisho kikuu cha Idara zingine, Idara hii ina jumla ya watumishi 144.Watumishi wa idara hii ni pamoja na Mkurugezi Mtendaji (W), Maafisa Utumishi, Makatibu wa Kamati, Makatibu Muhtasi, Madereva ,Walinzi ,Watunza Kumbukumbu, Wasaidizi wa Ofisi , Watendaji wa Kata na Watendaji wa Vijji.

Majukumu ya Idara ya Utumishi 

 

  • Kushughulika na masuala yote ya utawala na uendeshaji wa ofisi
  • Kuandaa na kuwasilisha taarifa za utekelezaji za robo, nusu na za mwaka za Idara zinazohitajika kwenye vikao, Tume ya Utumishi wa umma, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Mamlaka zingine
  • Kushughulikia masuala ya itifaki na mapokezi ya wageni.
  • Kusimamia utendaji wa kazi kwa ngazi ya wilaya na kwa ngazi za chini; Kata ,Vijiji na Vitongoji.
  • Kuandaa na kusimamia Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kushughulikia masilahi ya Watumishi kama likizo,mafao,matibabu, kupandisha vyeo,kubadilisha miundo ya utumishina kuthibitisha kazini.
  • Kushughulikia masuala ya nidhamu :kushauri hatua zinazostahili kwa watumishi wenye makosa mbalimbali ya kiutumushi kulingana na kanuni za Utumishi wa Umma.
  • Kuratibu maandalizi ya bajeti ya mishahara ya watumishi wote na matumizi mengineyo kwa idara ya utawala na utumishi
  • Kushughulikia masuala yote ya Utawala Bora na Mapambano dhidi ya Rushwa
  • Kushughulikia maafa mbalimbali katika Halmashauri kama ; Mafuriko, Ukame na Vifo
  • Kushughulikia matatizo na migogoro inayojitokeza katika maeneo ya kazi ngazi ya Halmashauri ya wilaya ,Kata, vijiji na vitongoji.
  • Kusimamia usalama wa mtumishi mahala pa kazi ili kuwezesha utoaji wa huduma bora.
  • Kuhamasisha Watumishi kupima afya zao mara kwa mara ili kujitambua na kuishi kwa kuzingatia kanuni za afya.

 

 

NB. HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA INA MAZINGIRA MAZURI NA WEZESHI KWA MTUMISHI KUFANYA KAZI KWA UFANISI NA KUPELEKEA MTUMISHI HUYO KUYAFIKIA MALENGO BINAFSI IKIWEMO UJENZI WA MAKAZI BINAFSI KUJIENDELEZA KIMASOMO NA SHUGHULI ZA KIUCHUMI.

KARIBUNI SANA IRAMBA 


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.