• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Administration and Human Resource Dept

IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALI WATU

UTANGULIZI:

Halmashauri ya Wilaya ya Iramba ina jumla ya Tarafa 4, Kata 20, Vijiji 78, Vitongoji 392, Idara13, Vitengo 6 na jimbo moja (01) la Uchaguzi ambalo ni Iramba.

Halmashauri ya Wilaya ya Iramba ina jumla ya watumishi 1745. Ambapo watumishi hawa wamegawanyika katika Makundi Mawili waliopo Makao Makuu ya Halmashauri na waliopo sehemu za kutolea huduma kama Hospitali , Zahanati , Shule , Ofisi za Kata na vijiji.

IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALI WATU:

Idara ya Utawala  ni kiunganisho kikuu cha Idara zingine, Idara hii ina jumla ya watumishi 144.Watumishi wa idara hii ni pamoja na Mkurugezi Mtendaji (W), Maafisa Utumishi, Makatibu wa Kamati, Makatibu Muhtasi, Madereva ,Walinzi ,Watunza Kumbukumbu, Wasaidizi wa Ofisi , Watendaji wa Kata na Watendaji wa Vijji.

Majukumu ya Idara ya Utumishi 

 

  • Kushughulika na masuala yote ya utawala na uendeshaji wa ofisi
  • Kuandaa na kuwasilisha taarifa za utekelezaji za robo, nusu na za mwaka za Idara zinazohitajika kwenye vikao, Tume ya Utumishi wa umma, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Mamlaka zingine
  • Kushughulikia masuala ya itifaki na mapokezi ya wageni.
  • Kusimamia utendaji wa kazi kwa ngazi ya wilaya na kwa ngazi za chini; Kata ,Vijiji na Vitongoji.
  • Kuandaa na kusimamia Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kushughulikia masilahi ya Watumishi kama likizo,mafao,matibabu, kupandisha vyeo,kubadilisha miundo ya utumishina kuthibitisha kazini.
  • Kushughulikia masuala ya nidhamu :kushauri hatua zinazostahili kwa watumishi wenye makosa mbalimbali ya kiutumushi kulingana na kanuni za Utumishi wa Umma.
  • Kuratibu maandalizi ya bajeti ya mishahara ya watumishi wote na matumizi mengineyo kwa idara ya utawala na utumishi
  • Kushughulikia masuala yote ya Utawala Bora na Mapambano dhidi ya Rushwa
  • Kushughulikia maafa mbalimbali katika Halmashauri kama ; Mafuriko, Ukame na Vifo
  • Kushughulikia matatizo na migogoro inayojitokeza katika maeneo ya kazi ngazi ya Halmashauri ya wilaya ,Kata, vijiji na vitongoji.
  • Kusimamia usalama wa mtumishi mahala pa kazi ili kuwezesha utoaji wa huduma bora.
  • Kuhamasisha Watumishi kupima afya zao mara kwa mara ili kujitambua na kuishi kwa kuzingatia kanuni za afya.

 

 

NB. HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA INA MAZINGIRA MAZURI NA WEZESHI KWA MTUMISHI KUFANYA KAZI KWA UFANISI NA KUPELEKEA MTUMISHI HUYO KUYAFIKIA MALENGO BINAFSI IKIWEMO UJENZI WA MAKAZI BINAFSI KUJIENDELEZA KIMASOMO NA SHUGHULI ZA KIUCHUMI.

KARIBUNI SANA IRAMBA 


Tangazo

  • WAHI NAFASI YA AJIRA August 19, 2021
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2018 HALMASHAURI YA WILAYA IRAMBA January 05, 2019
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2018 January 05, 2019
  • TANGAZO LA KULIPA KODI YA ARDHI. February 26, 2018
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • ZIARA YA WAH MADIWANI WAJUMBE WA KAMATI YA FEDHA, MIPANGO NA UTAWALA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO TAREHE 23 JANUARI, 2023

    January 23, 2023
  • Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kutunga Sheria ndogo itakayotumika kuzuia mifugo wanao randaranda mitaani na kufanya uharibifu wa miti iliyopandwa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya.

    January 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Singida Mhe: Peter Joseph Serukamba amehamasisha na kuelimisha wananchi umuhimu wa kuendelea kupanda na kutunza miti katika shule ya sekondari Maluga Wilaya ya Iramba leo tarehe 14 Januari 2023.

    January 14, 2023
  • Mkuu wa Mkoa Singida Mhe. Peter Serukamba amezindua miradi mitatu ya Maji kwenye vijiji vya Kaselya, Zinziligi na Maluga yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 1.4 Iliyopo Wilayani Iramba.

    January 11, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.