• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Afisa TEHAMA wa Mkoa wa Singida, Baraka Emmanuel amewaomba Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali kutumia taarifa zinazopatikana katika mifumo ya TEHAMA kupanga mipango na kufanya maamuzi yanayolenga kuinufaisha Halmashauri.

Posted on: February 20th, 2020

Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Afisa TEHAMA wa Mkoa wa Singida, Baraka Emmanuel amewaomba Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali kutumia taarifa zinazopatikana katika mifumo ya TEHAMA kupanga mipango na  kufanya maamuzi yanayolenga kuinufaisha Halmashauri.

Emmanuel ameyasema hayo leo Alhamisi februari 20, 2020 wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wakuu wa Idara na Vitengo (CMT) yaliofanyika Ukumbi Mdogo wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mjina hapa.

Mafunzo hayo yamekusudia kujenga uwelewa na uwazi kwa Wakuu hao kuelewa matumizi ya mifumo mbalimbali ya TEHAMA inayotumika katika Mamlaka za serikali za Mitaa.

Kupitia mifumo hiyo imeweza kurahisisha uandaaji wa taarifa na utendaji wa kazi mbalimbali katika kupanga na kuamua huku wakizingatia vipaumbele vilivyotokana na ukusanyaji wa mapato ya halmashauri hiyo.

Amesema kua Wakuu wa Idara na Vitengo wanapaswa kuifahamu mifumo ili kujua taarifa zinazopatikana na kuweza kuzichambua kwa lengo la kupanga makisio ya wilaya yao (projection).

Aidha amewashauri Wakuu hao kua na tabia ya kutoa zawadi kwa Idara iliyofanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato kupitia vyanzo vilivyoko chini ya Idara hiyo.

“ Mnapaswa kufahamu mchango wa kila Idara ukoje na  kuandaa zawadi kuzipatia Idara zinazochangia mapato zaidi,” alishauri Emmanuel

Akichangia mada Afisa Ardhi wa Wilaya hiyo, Ndugu Sanga amewaomba Wakuu hao kua na ushirikiano hasa kwa wale wanaokuja kukata leseni, kuhakikisha wanalipa na kodi ya huduma (service levy).

Kwa upande wake Afisa Utumishi wa Wilaya hiyo, B’hango Lyangwa amemuhakikishia Afisa huyo kua mafunzo waliyoyapata watayafikisha kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri hiyo kwa hatua zaidi.

Lyangwa amewaomba Wakuu wa Idara  na Vitengo kushirikiana katika ukusanyaji wa mapato.

“Tunapaswa kuweka kipaumbele  kuimarisha ukusanyaji wa  mapato kulingana na tathimini zilizotolewa,” amesisitiza

 

Kua na tabia yakuweka nguvu kubwa kwenye kukusanya mapato na si kuweka nguvu kubwa kwenye matumizi na kujihisi kua wewe sio sehemu ya wanaotakiwa kukusanya mapato.

Katika mafuzo hayo mifumo ifuatayo imefumdishwa, LGRCIS, GoTHOMIS, FFARS, PLANREP, iMIS, TANEPS, PMIS, GMS, PSSN, MIS, Prem, Prems, BEMIS, HeMIS, GSPP, EPICOR.

GWF, eLMS, DHI , HRHIS, Tool ya WISN+POA, DCMS, Mfumo wa sense ya WALIMU, Mfumo wa SELFORM, TSM 9 Mtandao, HELP DESK SUPPORT – TAMISEMI na eGa

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.