• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Afisa TEHAMA wa Mkoa wa Singida, Baraka Emmanuel amewaomba Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali kutumia taarifa zinazopatikana katika mifumo ya TEHAMA kupanga mipango na kufanya maamuzi yanayolenga kuinufaisha Halmashauri.

Posted on: February 20th, 2020

Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Afisa TEHAMA wa Mkoa wa Singida, Baraka Emmanuel amewaomba Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali kutumia taarifa zinazopatikana katika mifumo ya TEHAMA kupanga mipango na  kufanya maamuzi yanayolenga kuinufaisha Halmashauri.

Emmanuel ameyasema hayo leo Alhamisi februari 20, 2020 wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wakuu wa Idara na Vitengo (CMT) yaliofanyika Ukumbi Mdogo wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mjina hapa.

Mafunzo hayo yamekusudia kujenga uwelewa na uwazi kwa Wakuu hao kuelewa matumizi ya mifumo mbalimbali ya TEHAMA inayotumika katika Mamlaka za serikali za Mitaa.

Kupitia mifumo hiyo imeweza kurahisisha uandaaji wa taarifa na utendaji wa kazi mbalimbali katika kupanga na kuamua huku wakizingatia vipaumbele vilivyotokana na ukusanyaji wa mapato ya halmashauri hiyo.

Amesema kua Wakuu wa Idara na Vitengo wanapaswa kuifahamu mifumo ili kujua taarifa zinazopatikana na kuweza kuzichambua kwa lengo la kupanga makisio ya wilaya yao (projection).

Aidha amewashauri Wakuu hao kua na tabia ya kutoa zawadi kwa Idara iliyofanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato kupitia vyanzo vilivyoko chini ya Idara hiyo.

“ Mnapaswa kufahamu mchango wa kila Idara ukoje na  kuandaa zawadi kuzipatia Idara zinazochangia mapato zaidi,” alishauri Emmanuel

Akichangia mada Afisa Ardhi wa Wilaya hiyo, Ndugu Sanga amewaomba Wakuu hao kua na ushirikiano hasa kwa wale wanaokuja kukata leseni, kuhakikisha wanalipa na kodi ya huduma (service levy).

Kwa upande wake Afisa Utumishi wa Wilaya hiyo, B’hango Lyangwa amemuhakikishia Afisa huyo kua mafunzo waliyoyapata watayafikisha kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri hiyo kwa hatua zaidi.

Lyangwa amewaomba Wakuu wa Idara  na Vitengo kushirikiana katika ukusanyaji wa mapato.

“Tunapaswa kuweka kipaumbele  kuimarisha ukusanyaji wa  mapato kulingana na tathimini zilizotolewa,” amesisitiza

 

Kua na tabia yakuweka nguvu kubwa kwenye kukusanya mapato na si kuweka nguvu kubwa kwenye matumizi na kujihisi kua wewe sio sehemu ya wanaotakiwa kukusanya mapato.

Katika mafuzo hayo mifumo ifuatayo imefumdishwa, LGRCIS, GoTHOMIS, FFARS, PLANREP, iMIS, TANEPS, PMIS, GMS, PSSN, MIS, Prem, Prems, BEMIS, HeMIS, GSPP, EPICOR.

GWF, eLMS, DHI , HRHIS, Tool ya WISN+POA, DCMS, Mfumo wa sense ya WALIMU, Mfumo wa SELFORM, TSM 9 Mtandao, HELP DESK SUPPORT – TAMISEMI na eGa

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.