• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Athari za Mvua Wilayani Iramba Mkoani Singida.

Posted on: April 18th, 2018

Kutokana na mvua inayonyesha mfululizo Wilayani Iramba imeleta maafa makubwa katika familia ya mzee Athumani Daudi (miaka 84) Mkazi wa Kijiji cha Kisana Tarafa ya Kisiri wilayani Iramba ambaye amefariki Dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba ya udongo maarufu kama tembe walimokuwa wamelala usiku wa kuamkia leo.

Mke wa Marehemu Wintyapa Kitundu (miaka 79) amenusurika baada ya kupata majeraha ambapo amelazwa katika Hospitali ya wilaya Kiomboi Wilayani Iramba akipatiwa matibabu.


Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Mhe: Emmanuel Luhahula amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa kuanguka kwa nyumba hiyo kumetokana na athari za mvua zinazoendelea kunyesha.

Akizungumza na Wananchi kwenye tukio amewataka wakazi wa wilaya ya Iramba kuchukua tahadhari kutokana na mvua inayoendelea kunyesha. Vilevile ameyasema hayo alipotembelea katika kata ya Kyengege kujionea namna mvua zilivyoleta madhara katika makazi ya watu.

Kutokana na athari ya mvua zinazoendelea kunyesha Wilayani Iramba na Kusababisha uharibifu wa Nyumba. Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe: Emmanuel Luhahula amewataka wakazi wote wa kata ya Kyengege walioathrika wahame maeneo hayo mara moja na kupewa eneo la kujihifadhi. Aidha ametoa wito kwa wakazi kukarabati nyumba zao na kujenga nyingine za kudumu ili kuepuka maafa ya kuangukiwa na nyumba za tembe yanayotokea mara kwa mara.

Picha ikionesha nyumba ya udongo maarufu kama tembe iliyoanguka kutokana na athari za mvua zinazoendela kunyesha Wilayani Iramba.


Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.