• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

BARAZA LA BIASHARA LA WILAYA YA IRAMBA LIMEFANYIKA

Posted on: January 31st, 2025

Baraza la Biashara la Wilaya Iramba limefanyika Januari 31, 2025 katika Ukumbi Mikutano wa Halmashauri.


Baraza hilo limeongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza hilo Suleiman Yusuph Mwenda na kuhudhuriwa na Wajumbe mbalimbali kutoka katika sekta ya Umma na sekta binafsi.


Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano huo Mwenda ametoa wito kwa wafanyabishara Wilayani Iramba kuchangamkia fursa za Biashara Serikalini ikiwa ni pamoja na zabuni, ufundi ujenzi na nyinginezo. Pia ametoa wito kwa wafanyabiashara kuthubutu kuchukua mikopo ili kukuza Biashara zao.


"Tuna Mafundi wetu hapa.... tengenezeni nguvu ya pamoja unganeni ata Mafundi wa nne ili kutengeneza kampuni Moja nendeni kwa Afisa Biashara mkajisajili ili nanyi mpate fursa ya kushindania hizi kazi." amesema DC Mwenda


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bi. Magreth Segu ametumia Baraza hilo kueleza umuhimu wa Baraza la biashara ambao ni pamoja na uwepo wa jukwaa la majadililiano kati ya sekta ya Umma na sekta binafsi,Wajumbe wa Baraza la biashara kujengewa uwezo wa kujenga na kutetea hoja, kuinua wigo juu ya upatikanaji wa Elimu juu ya masuala biashara, Elimu ya mlipa Kodi ujalisiliamali na uwekezaji na Baraza la Biashara kusaidia kubaini matatizo yanayoikabili sekta binafsi.


Naye Mwenyekiti wa Umoja wa Machinga Wilaya ya Iramba Bw.Abdala Tyenia ameiomba Serikali kuunga mkono umoja huo wa Wajasiliamali wadogo ili kuendelea kutoa kushirikiana kutoa Elimu kwa Wajasiliamali wadogo (Machinga) kuhusu umuhimu wa Kodi na namna Serikali ilivyo boresha mazingira mazuri kwao kibiashara katika suala Zima la ulipaji Kodi.


"Changamoto ambayo inatukumba sisi viongozi wa Wajasiliamali ni kwamba Wajasiliamali wengi na wamachinga bado hawajawa na elimu ya kutosha kujua kwamba Serikali imesha tengeneza mazingira rafiki ili waweze kufikia lengo la kuweza kulipa Kodi kupitia umachinga." Alisema Tyenia


Baraza hilo limejumusha Elimu ya Biashara kutoka kwa Afisa Biashara Wilaya Bw.Prosper Sostenes Banzi amabaye ametoa Elimu kwa Wajumbe kuhusu Shera ya Leseni za Biashara na Marekebisho Yake (Business Licensing Act No 25 of 972, Amendment 1980,2014 and 2015).

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.