• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Baraza la Madiwani wilayani Iramba limemfuta kazi Mkuu wa Idara ya fedha, Muhidini Mohamed ambaye alikuwa Mweka hazina. Picha na Hemedi Munga

Posted on: September 19th, 2019

Hemedi Munga. Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Baraza la Madiwani wilayani Iramba limemfuta kazi Mkuu wa Idara ya  fedha, Muhidini Mohamed ambaye alikuwa Mweka hazina.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya  Iramba, Simion Tiyosera katika ukumbi wa mkutano leo Septema 19, 2019.

 

Akitoa maamuzi hayo ya Baraza la Madiwani  baada ya kujigeuza kuwa kamati ya  mamlaka ya kinidhamu na kuchakata kwa kina mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Simion Tiyosera amesema  kwa mamlaka ya baraza kutokana na makosa mbalimbali na makosa ya kitaalam kwa upande wa idara ya fedha baraza limemvua Mohamed madaraka yake na kumfuta kazi.

“  Lakini pia kwa masikitiko makubwa kwa makosa  aliyoyatenda ya ubadhirifu na makosa mengine ya kitaalam kwa upande wa  idara ya fedha Mkuu wa Idara bwana  Muhidini Mohamed kwa masikitiko makubwa Baraza limemvua madaraka yake ya ukuu wa Idara na kumfukuza  kazi” Alisema Tiyosera

Wakati huo huo Baraza limempunguzia adhabu bwana Julius Dyobili kwa kumpunguzia mshahara.

“Ninatangaza kwa mamlaka ya Baraza kutokana na makosa mbalimbali  waliyoyafanya bwana Julius Dyobili akiwa upande wa idara ya fedha kwa makosa yake aliyoyafanya Baraza limetoa adhabu ya kumpunguzia mshahara” Aliongeza Tiyosera

Hata hivyo Baraza limekamilisha uteuzi wa wakuu wawili wa Idara waliokuwa wakikaimu Idara hizo nakuwa wakuu wa Idara kamili ambapo Bibi Jeni Ngondi kuwa Mkuu wa Idara ya Maendeleo na Ustawi Wajimii na Daktari Hussen Sepoko akiteuliwa kuwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Iramba Kiomboi.

Huku Baraza likikasimu madaraka ya ukuu wa Idara ambapo bwana Hadhil Ngayunga kuwa Mkuu wa Idara ya fedha yani Mweka Hazina na Bibi Tatu Ntandu kuwa Mkuu wa Kitengo cha Ugavi wilayani Iramba Mkoa wa Singida.                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                       

Baraza pia limewathibitisha watumishi 59 kazini nakuagiza kuyafanyia kazi maamuzi yote yaliotolewa na baraza kwa mustakabali mzuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba.

Akiongea katika baraza hilo Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Iramba, Jamila Mujungu amempongeza Mwenyekiti wa Halmashauri na Baraza lake kwa  ujasiri wa kutetea maslahi ya wananchi kwa upana wake.

Aidha amewapongeza madiwani na  wataalam wote  kwa hatua nzuri ya ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri, huku akiamini kuwa watafika pazuri.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Linno Mwageni amewatoa hofu madiwani kuwa mahali ambapo panatarajiwa kujengwa stendi ya mabasi patakua na uwekezaji wa kisasa.

Huku akibainisha kuwa taratibu za kimanunuzi zitakamilika kwa haraka  na mwezi wakumi mabasi yataanza kupita katika stendi hiyo ili kutengeneza chanzo cha mapato endelevu cha Halmashauri.

Announcements

  • TANGAZO KUHUSU UJIO WA MADAKTARI BINGWA HOSPITALI YA WILAYA YA IRAMBA-KIOMBOI February 20, 2026
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.