• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Baraza la Madiwani wilayani Iramba limemfuta kazi Mkuu wa Idara ya fedha, Muhidini Mohamed ambaye alikuwa Mweka hazina. Picha na Hemedi Munga

Posted on: September 19th, 2019

Hemedi Munga. Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Baraza la Madiwani wilayani Iramba limemfuta kazi Mkuu wa Idara ya  fedha, Muhidini Mohamed ambaye alikuwa Mweka hazina.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya  Iramba, Simion Tiyosera katika ukumbi wa mkutano leo Septema 19, 2019.

 

Akitoa maamuzi hayo ya Baraza la Madiwani  baada ya kujigeuza kuwa kamati ya  mamlaka ya kinidhamu na kuchakata kwa kina mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Simion Tiyosera amesema  kwa mamlaka ya baraza kutokana na makosa mbalimbali na makosa ya kitaalam kwa upande wa idara ya fedha baraza limemvua Mohamed madaraka yake na kumfuta kazi.

“  Lakini pia kwa masikitiko makubwa kwa makosa  aliyoyatenda ya ubadhirifu na makosa mengine ya kitaalam kwa upande wa  idara ya fedha Mkuu wa Idara bwana  Muhidini Mohamed kwa masikitiko makubwa Baraza limemvua madaraka yake ya ukuu wa Idara na kumfukuza  kazi” Alisema Tiyosera

Wakati huo huo Baraza limempunguzia adhabu bwana Julius Dyobili kwa kumpunguzia mshahara.

“Ninatangaza kwa mamlaka ya Baraza kutokana na makosa mbalimbali  waliyoyafanya bwana Julius Dyobili akiwa upande wa idara ya fedha kwa makosa yake aliyoyafanya Baraza limetoa adhabu ya kumpunguzia mshahara” Aliongeza Tiyosera

Hata hivyo Baraza limekamilisha uteuzi wa wakuu wawili wa Idara waliokuwa wakikaimu Idara hizo nakuwa wakuu wa Idara kamili ambapo Bibi Jeni Ngondi kuwa Mkuu wa Idara ya Maendeleo na Ustawi Wajimii na Daktari Hussen Sepoko akiteuliwa kuwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Iramba Kiomboi.

Huku Baraza likikasimu madaraka ya ukuu wa Idara ambapo bwana Hadhil Ngayunga kuwa Mkuu wa Idara ya fedha yani Mweka Hazina na Bibi Tatu Ntandu kuwa Mkuu wa Kitengo cha Ugavi wilayani Iramba Mkoa wa Singida.                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                       

Baraza pia limewathibitisha watumishi 59 kazini nakuagiza kuyafanyia kazi maamuzi yote yaliotolewa na baraza kwa mustakabali mzuri wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba.

Akiongea katika baraza hilo Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Iramba, Jamila Mujungu amempongeza Mwenyekiti wa Halmashauri na Baraza lake kwa  ujasiri wa kutetea maslahi ya wananchi kwa upana wake.

Aidha amewapongeza madiwani na  wataalam wote  kwa hatua nzuri ya ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri, huku akiamini kuwa watafika pazuri.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Linno Mwageni amewatoa hofu madiwani kuwa mahali ambapo panatarajiwa kujengwa stendi ya mabasi patakua na uwekezaji wa kisasa.

Huku akibainisha kuwa taratibu za kimanunuzi zitakamilika kwa haraka  na mwezi wakumi mabasi yataanza kupita katika stendi hiyo ili kutengeneza chanzo cha mapato endelevu cha Halmashauri.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.