• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

CMT MASASI PAMOJA NA BARAZA LA MADIWANI WAFANYA ZIARA WILAYA YA IRAMBA ILI KUJIFUNZA KUHUSU ZAO LA ALIZETI.

Posted on: December 3rd, 2024

Wakuu wa Idara na vitengo mbalimbali pamoja na Madiwani kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, wamefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kwa Lengo la kujifunza kuhusu zao la alizeti linalolimwa Wilayani hapo.


Ziara hiyo ya Mafunzo imefanyika Disemba 03,2024 katika kata ya Mtoa, kata ya Shelui pamoja na kata ya Ulemo. na imeambatana na mafunzo yanayo husu upatikanaji wa Mbegu Bora za Alizeti, Elimu ya Ugani, uandaaji wa mashamba, masoko, Viwanda vya kusindika, Wajasiliamali wa Mafuta, Vikundi vya Wajasiliamali wa Bidhaa zinazotokana na zao la Alizeti. Pia imehusisha kuwatembelea baadhi ya wakulima wa zao hilo katika kata ya Mtoa.


Akizungumza katika mkutano wa pamoja wa mapokezi uliyofanyika Katika Ukumbi mkubwa wa mikutano wa Halmashauri, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Iramba Innocent Msengi ameshukuru ujio wa ugeni huo na ametoa wito kwao kuyafanyia kazi mafunzo hayo ya zao la Alizeti.


"Mkurugenzi na mwenyekiti kuchukua maamuzi ya kuja Iramba mmetuheshimisha. Mwaka 2014 Tumewahi fika pia Masasi, tulifika kujifunza namna ya kukusanya kwa kupitia Mfumo wa Stakabadhi Ghalani. Niwaombe hiki tutakachojifunza tuweze kukitumia." Amesema Innocent Msengi.


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Ibrahimu Issa Chiputula amemesema ziara hiyo ya mafunzo ina lengo pia lakujifunza kuhusu mapato ili kurahisisha utekelezaji wa Miradi ya Wananchi na kutatua Kero zao.


"Ndugu zangu tumekuja kwaajili ya mapato. Halmashauri yenye mapato ndiyo Halmashauri ambayo itakuwa na nguvu ya kutekeleza Miradi ya Wananchi na kuondoa Kero za Watanzania. Kwahiyo tumekuja kujifunza kwenda kuongeza kwenye kipande hicho tulicho nacho, tukiongeza na Yale mtakayo tupatia nasi twaweza songa mbele. Amesema Ibrahimu Chiputula


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Bwana Michael Matomora ameshukuru ujio wageni hao na ameahidi kuwapa ushirikiano katika mafunzo kupitia kwa wataalamu wa Kilimo wa Halmashauri.


Alizeti ni zao la Biashara Wilayani Iramba. Zao hilo hulimwa katika kata zote zikiongozwa na kata ya Mtoa ambayo hulimwa zaidi. Zao hilo linachangia katika upatikanaji wa Mafuta ya kula ndani na nje ya Wilaya.


Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.