• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

CMT MASASI PAMOJA NA BARAZA LA MADIWANI WAFANYA ZIARA WILAYA YA IRAMBA ILI KUJIFUNZA KUHUSU ZAO LA ALIZETI.

Posted on: December 3rd, 2024

Wakuu wa Idara na vitengo mbalimbali pamoja na Madiwani kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, wamefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kwa Lengo la kujifunza kuhusu zao la alizeti linalolimwa Wilayani hapo.


Ziara hiyo ya Mafunzo imefanyika Disemba 03,2024 katika kata ya Mtoa, kata ya Shelui pamoja na kata ya Ulemo. na imeambatana na mafunzo yanayo husu upatikanaji wa Mbegu Bora za Alizeti, Elimu ya Ugani, uandaaji wa mashamba, masoko, Viwanda vya kusindika, Wajasiliamali wa Mafuta, Vikundi vya Wajasiliamali wa Bidhaa zinazotokana na zao la Alizeti. Pia imehusisha kuwatembelea baadhi ya wakulima wa zao hilo katika kata ya Mtoa.


Akizungumza katika mkutano wa pamoja wa mapokezi uliyofanyika Katika Ukumbi mkubwa wa mikutano wa Halmashauri, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Iramba Innocent Msengi ameshukuru ujio wa ugeni huo na ametoa wito kwao kuyafanyia kazi mafunzo hayo ya zao la Alizeti.


"Mkurugenzi na mwenyekiti kuchukua maamuzi ya kuja Iramba mmetuheshimisha. Mwaka 2014 Tumewahi fika pia Masasi, tulifika kujifunza namna ya kukusanya kwa kupitia Mfumo wa Stakabadhi Ghalani. Niwaombe hiki tutakachojifunza tuweze kukitumia." Amesema Innocent Msengi.


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Ibrahimu Issa Chiputula amemesema ziara hiyo ya mafunzo ina lengo pia lakujifunza kuhusu mapato ili kurahisisha utekelezaji wa Miradi ya Wananchi na kutatua Kero zao.


"Ndugu zangu tumekuja kwaajili ya mapato. Halmashauri yenye mapato ndiyo Halmashauri ambayo itakuwa na nguvu ya kutekeleza Miradi ya Wananchi na kuondoa Kero za Watanzania. Kwahiyo tumekuja kujifunza kwenda kuongeza kwenye kipande hicho tulicho nacho, tukiongeza na Yale mtakayo tupatia nasi twaweza songa mbele. Amesema Ibrahimu Chiputula


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Bwana Michael Matomora ameshukuru ujio wageni hao na ameahidi kuwapa ushirikiano katika mafunzo kupitia kwa wataalamu wa Kilimo wa Halmashauri.


Alizeti ni zao la Biashara Wilayani Iramba. Zao hilo hulimwa katika kata zote zikiongozwa na kata ya Mtoa ambayo hulimwa zaidi. Zao hilo linachangia katika upatikanaji wa Mafuta ya kula ndani na nje ya Wilaya.


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.