• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Daudi Mlundi (87) ayakumbuka mayayi wakati wa Mwalimu Julius Nyerere . Picha na Hemedi Munga

Posted on: October 11th, 2019

Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Mzee wa miaka 87 ayakumbuka mazuri ya hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.

Mzee huyo alietambulika kwa jina la Daudi Mlundi, mkazi wa kitongoji cha Kilundo kata ya kiomboi, Tarafa ya Kisiriri Wilayani Iramba Mkoa wa Singida Tanzania amesema  Mwalimu Julius Nyerere alisema binadaam wote ni sawa.

Mlundi aliyasema hayo leo Ijumaa Oktoba 11, 2019 Kilundo wakati akiongea na M wandishi wetu kuelekea kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.

Binaadam wote ni sawa hakuna ubaguzi, na wala usibague rangi, hii inatokana na kuwa Mwalimu Nyerere alikuwa mpezi wa binaadam wote wala hakubagua. Tajiri na masikini, aliosoma asiesoma hakuwaweka mbali. Aliongeza Mlundi

Anachokikumbuka Mlundi, wakati alipoteuliwa kuwa balozi wa kitongoji cha Nzega ambacho kwa sasa kinaitwa   Nnguluko alipewa kitabu kilichokuwa kimeandikwa kuwa “ Binadaam wote ni sawa hakuna ubaguzi”

Huku akifafanua kuwa kitabu hicho alikuwa anapewa balozi ili wasibaguane hata kama yeye ni balozi akae na watu wakiwa  huru.

Mwalim Julius Nyerere akiwa Muadui Shinyanga 1961, aliwaamuru waafrika wakae kwenye viti na wazungu wakae chini. Alisimulia Mlundi

 

“Nyinyi wazungu kaeni  chini na muafrika akae kwenye kiti” Alisema Nyerere

Akiongea na Mwandishi wetu,  Mlundi amesema kuwa   Mwalimu Nyerere aliwaambia wananchi wasichelewe kuota vitambi kwa kuwa tayari wako huru.

“Msichelewe kuota vitambi sasa hivi ni uhuru, sasa hivi mayayi mtakula nyinyi.” Alisema Nyerere

Hayo yalikuja baada ya kupata uhuru kwa kuwa kabla ya uhuru  kipindi cha Muingereza mayayi walikuwa wakipelekewa Waingereza na Muafrika hakuruhusiwa kula mayayi.

 Mlundi alieleza  kuwa Mwalimu Nyerere alipendelea lugha ya Kiswahili kutumika katika viwanda huku akitolea mfano wa Kiwanda cha Sungura kilichoko Dar es salaam.

Mwalimu Julius  Nyerere alifariki dunia Oktoba 14, 1999.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.