• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DC MWENDA AAGIZA USHIRIKI WA WAWEKEZAJI KATIKA MIRADI YA JAMII IRAMBA

Posted on: May 21st, 2025

DC MWENDA AAGIZA USHIRIKI WA WAWEKEZAJI KATIKA MIRADI YA JAMII IRAMBA


Iramba, Singida – Mei 21, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda, ametoa agizo kwa serikali ya kijiji cha Nkokilangi kuhakikisha kuwa wawekezaji wote wanaofanya shughuli za uchimbaji wa madini katika eneo hilo wanashiriki kikamilifu kwenye programu za kurudisha kwa jamii (CSR), ili kuhakikisha kuwa wananchi wananufaika moja kwa moja na uwekezaji unaofanyika kwenye ardhi yao.


DC Mwenda aliyasema hayo leo alipokutana na wachimbaji wadogo wa madini katika kijiji cha Nkokilangi, kata ya Ntwike, kitongoji cha Kibululu Matanda. Lengo la kikao hicho likiwa ni kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili wachimbaji hao katika utendaji wao wa kazi za kila siku.


Katika kikao hicho, Mwenda alisisitiza serikali ya kijiji kuhakikisha inasimamia ipasavyo utekelezaji wa majukumu ya wawekezaji kwa jamii.


“Hakikisheni wawekezaji wote wa ndani na nje wanashiriki programu ya kurudisha kwa jamii lakini pia hakikisheni wananchi wote wa eneo hili wanapata taarifa zote muhimu juu ya uwekezaji huo. Wakija watuachie alama, alikuja Sunshine hapa akatuachia darasa Moja pale shule ya Msingi Nkokilangi. Tumieni muongozo kufahamu nini kinatakiwa kifanyike kwenye Jamii kwa kuzingatia uhitaji wa Jamii kwa wakati huu.” alisisitiza DC Mwenda


Mmoja wa wanakijiji, Michael Juma, alitumia nafasi hiyo kuwasilisha ombi kwa Mkuu wa Wilaya akiomba kutengwa kwa eneo maalum la kiwanja cha michezo kijijini hapo. Ambapo, Alisema kuwa kiwanja hicho kitakuwa msaada mkubwa katika kuendeleza shughuli za michezo na kujenga afya na mshikamano kwa vijana wa eneo hilo.


Katika hatua nyingine, DC Mwenda aliwataka wanakijiji wa Nkokilangi kujiandaa kwa ajili ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kufanya ziara Wilayani Iramba mwezi Julai 2025. Alisisitiza kuwa ni fursa ya kipekee kwa wananchi kuonyesha mshikamano na maendeleo ya Wilaya ya Iramba.


Announcements

  • TANGAZO KUHUSU UJIO WA MADAKTARI BINGWA HOSPITALI YA WILAYA YA IRAMBA-KIOMBOI February 20, 2026
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.