• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DC MWENDA AHAMASISHA UZALENDO KWA WANAFUNZI KUPITIA MHADHARA WA KITAALUMA

Posted on: March 18th, 2025

DC MWENDA AHAMASISHA UZALENDO KWA WANAFUNZI KUPITIA MHADHARA WA KITAALUMA


Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda ameongoza Mhadhara wa Umahiri, Uzalendo na fursa kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Katala uliowashirikisha Wanafunzi wa Shule hiyo na Walimu


Dc Mwenda ameongoza Mhadhara huo Machi 18,2025 huku akitoka Pongezi kwa Walimu wa Shule hiyo kwa kuanzisha programu ambayo itachochea Uzalendo kwa Wanafunzi ili kufahamu kwa upana historia ya Tanzania kabla, wakati na baada ya ukoloni ili Wanafunzi waweze kufahamu historia na Mchango wa Viongozi mbalimbali nchini.


Hatua hii ya kuanzisha mihadhara ya kitaaluma imepongezwa na Mkuu wa wilaya na kuomba shule na vyuo vya kati viige mfano huo bora ili kupanua maarifa ya vijana.


"Mwaka 2017 tulifanya utafiti Jijini Dar es Salaam kufahamu ni kwa namna gani Wanafunzi wanafahamu kwa undani Mchango wa Viongozi mbalimbali Katika harakati za kupigania uhuru isivyo bahati, Tuliwauliza mnamfahamu Mwalimu Nyerere, Kawawa na Kambona, Wanafunzi wengi walishindwa kufahamu mchango wa Viongozi hao, tulipouliza nani anafahamu wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Wachezaji wa timu ya Simba na Yanga wote walinyoosha Mikono." Amesema DC Mwenda


Shule ya Sekondari Katala imeanzisha programu maalum ya mhadhara (public lecture) kwa lengo la kuchochea fikra yakinifu na mitazamo chanya katika nyanja mbalimbali za kijamii.


Aidha Katika uwasilishaji wake umeibua fikra yakinifu na tunduizi zenye kuhimiza uzalendo wa hali ya juu hasa kwa kizazi cha karne hii (generation Z and generation Alpha) ambao wanachochewa na ukuaji wa teknolojia. Na kwa namna nyingine athari kubwa ni kusahau Utamaduni wa jamii zao na kukosa uzalendo.





Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.