• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DC MWENDA AMKABIDHI PIKIPIKI MWALIMU MKUU WA SHULE YA MSINGI MILAMBO ILIYPO KATA YA NTWIKE

Posted on: November 1st, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda akimkabidhi pikipiki Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Milambo iliyopo Kijiji cha Mingela Kata ya Ntwike, Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba, Mwalimu Hussein Kionda, kwa lengo la kuondoa changamoto ya usafiri inayomkabili Mwalimu huyo katika kutimiza majukumu yake ya kazi.


Mwenda ameyasema hayo Novemba 1,2024 wakati akimkabidhi pikipiki Mwalimu Hussein Kionda nje ya Viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na kuhudhuriwa na Kaimu Afisa Elimu idara ya Elimu Awali na Msingi Agnes Peter


Aidha Mwenda amesema kuwa , kutokana na Changamoto kubwa ambayo ilikuwa inamkabili mtumishi huyo kutoka na ukosefu wa miundo mbinu ya Barabara na hakuna Usafiri wa Aina yoyote Unaoweza kufika Eneo hilo na hakuma huduma muhimu, ilimfanya mtumishi huyo kupata shida ya kufika na kufanya kazi zake ipasavyo.


"Malengo ya Wilaya ya Iramba katika Ufaulu ni kufika Asilimia 100 % na Kwa Sasa tupo kwenye Asilimia 77% hivyo tukio hili litakuwa Endelevu Kwa Shule zote na kuhakikisha kuwa tumeziondoa.Tumekuwa tukitoa Motisha kwa walimu na Wanafunzi wanaofanya vizuri kitaaluma mwaka huu tulitoa Kompyuta kwa Kila Shule zilizofanya vizuri kitaaluma kwa Kata 20" Amesema DC Mwenda


Kipekee nimpongeze na Kumshukuru Afisa Elimu idara ya Elimu Awali na Msingi Mwalimu Rose Kibakaya,Amekuwa msikivu na Kila mara tumekuwa tukipanga mikakati ya Kuinua ufaulu kwa kuhakikisha tunatoka Motisha kwa walimu na Wanafunzi wanaofanya vizuri.


"Tunashirikiana na Wanafunzi wa Shule ya Vestfyns Efterskole iliyopo Mji wa Tomerrup

nchini Denmark wamefanya ziara ya Kutembelea maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Iramba kwa lengo la kukuza ushirikiano,Mwaka Jana walikuja Wilayani kwetu kujifunza mambo mbalimbali na Sisi tumepanga mwishoni mwa Mwaka huu tutawapeleka wanafunzi 25 na walimu na Wakuu wa Shule za Sekondari za Lulumba na Tumaini ziara Nchini humo ikiwa ni Mikakati niliyoiweka ya kuhakikisha Kila anayefanya vizuri atakuwa anapata Motisha" Amesema DC Mwenda


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.