• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DC MWENDA AONGOZA HAFLA MAALUM YA KUWAAGA MADIWANI WA HALMASHAURI YA IRAMBA

Posted on: June 19th, 2025

DC MWENDA AONGOZA HAFLA MAALUM YA KUWAAGA MADIWANI WA HALMASHAURI YA IRAMBA


Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mkoani Singida, Mhe. Suleiman Yusuph Mwenda, ameongoza hafla maalum ya kuwaaga Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba waliomaliza muda wao wa miaka mitano madarakani tangu walipochaguliwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.


Hafla hiyo ya heshima imefanyika katika viwanja vya ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Juni 18, 2025 na kuhudhuriwa na viongozi wa Dini, Serikali, pamoja na watumishi wa umma kutoka ofisi ya makao makuu ya wilaya hiyo.


Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Mwenda aliwapongeza madiwani kwa kazi kubwa waliyoifanya katika kipindi chote cha uongozi wao. Alisema kuwa mchango wao umekuwa na matokeo chanya katika kusukuma mbele maendeleo ya wananchi wa Iramba.


“Leo tumekutana hapa si tu kuwaaga viongozi wenzetu waliomaliza muda wao, bali kuwapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya. Mmetuonyesha mfano wa utumishi wa umma uliojaa uwajibikaji, maadili, na uzalendo,” alisema DC Mwenda.


Aidha, Mhe. Mwenda aliwataka viongozi watakaochaguliwa baada yao kuendeleza misingi ya ushirikiano, uwazi, na kusikiliza wananchi katika kutekeleza miradi ya maendeleo na huduma za kijamii.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mhe. Innocent Msengi ambaye pia ni Diwani wa kata ya Kyengege amewashukuru wakuu wa ldara na Vitengo pamoja na wataalam wengine wa Halmashauri kwa ushirikiano hasa katika Usimamizi wa miradi ya maendeleo wilayani Iramba. Pia amewashukuru Waheshimiwa Madiwani kwa ushirikiano wakati wote wa Uongozi wao katika Halmashauri hiyo.


Hafla hiyo iliambatana na utoaji wa vyeti vya pongezi kutambua mchango wa madiwani hao, ikiwa ni ishara ya heshima na shukrani kwa juhudi zao katika maendeleo ya Halmashauri.



Tangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KUJADILI NA KUPOKEA TAARIFA YA CAG MWAKA WA FEDHA 2023/2024 TAREHE 18, JUNI 2025 June 16, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • SERIKALI YAWAHIMIZA WAFUGAJI MKOANI SINGIDA KULINDA MIFUGO KUPITIA CHANJO NA UTAMBUZI

    July 08, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA SABASABA 2025

    July 07, 2025
  • TRA IRAMBA YAVUKA MALENGO YA UKUSANYAJI KODI KWA ASILIMIA 130, YAWASHUKURU WALIPAKODI

    July 01, 2025
  • DC MWENDA AKABIDHI SPIKA KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII IRAMBA

    July 01, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.