• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DC MWENDA APIGA KURA KITONGOJI CHA ZAHANATI, ASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KUCHAGUA VIONGOZI SERIKALI ZA MITAA

Posted on: November 27th, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda leo tarehe 27 Novemba 2024 ameshiriki zoezi la uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa katika kituo cha Zahanati kata ya Kiomboi wilaya ya Iramba Mkoani Singida na kuwataka wananchi kutumia fursa hiyo kuchagua viongozi wanao ona wana uwezo kuwaongoza.


DC Mwenda ambaye ni mkazi wa Kitongoji cha Zahanati ametoa wito kwa wananchi wote kufika kwenye vituo vilivyoandaliwa ili wapige kura na muhimu wachague viongozi ambao wanaridhika nao.


“Mara nyingi hatuendi kuchagua viongozi baada ya hapo wakishachaguliwa tunaanza kulalamika, basi kama Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyotuhamasisha wote akasema tusipoteze fursa hii… tuitumie fursa hii kuchagua viongozi ambao watatuletea maendeleo na kudumisha amani na usalama Katika maeneo yetu tunayoishi. Twende kupiga kura kuchagua viongozi ambao tunaona wanatufaa lakini pia tutekeleze wajibu wetu na haki yetu ya kikatiba,” amesema DC Mwenda.


Aidha Mwenda amewahakikishia Wananchi wa Wilaya ya Iramba kuwa hali ya Ulinzi na Usalama Iko shwari na Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimejipanga kuhakikisha uchaguzi unaenda Katika Hali la usalama amani kwenye Vituo Vyote 393 vya kupigia kura.


"Ulinzi Katika Vituo Vyote umeinarishwa na nitoe Rai kwa Wananchi wote wanaoenda vituoni kupiga kura wahakikishe wakimaliza kupiga kura wasibaki kwenye Vituo,Kwa yeyote atakaeleta fujo au kihatarisha amani vyombo vya ulinzi na usalama vitamchukulia hatua Kali za kisheria." Amesema DC Mwenda.



Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.