Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Mhe. Suleiman Yusuph Mwenda anawashukuru Wananchi wote wa Wilaya ya Iramba, Wadau mbalimbali wa Maendeleo, Wakulima, Wafugaji, Watumishi,Wasanii mbalimbali kwa kufanikisha ujio wa mwenge wa Uhuru Julai 21, 2025.
Mwenda ameyàsema hayo Julai 22, 2025 mara baada ya kukabidhi Mwenge wa Uhuru na itifaki yake kwa Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhe. Godwin Gondwe.
KIOMBOI, IRAMBA
Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA
Telephone: 026 - 2532253
Mobile: 026 - 2533001
Email: ded.irambadc@singida.go.tz
Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.