• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DC MWENDA - ELIMU YA WATU WAZIMA NI MSINGI WA MAENDELEO YA KIDIGITALI

Posted on: September 1st, 2025


Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi yamefanyika wilayani Iramba yakiongozwa na mgeni rasmi, Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mhe. Suleiman Yusuph Mwenda, aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Singida leo Septemba 1,2025.


Akizungumza katika maadhimisho hayo yenye kaulimbiu “Kukuza Kisomo katika Zama za Kidigitali kwa Maendeleo Endelevu ya Taifa Letu”, Mhe. Mwenda amesema kila mwanadamu ana haki ya kupata elimu, huku akisisitiza umuhimu wa elimu ya watu wazima katika kujenga jamii yenye maarifa na uwezo wa kujiajiri. “Elimu ya watu wazima ni muhimu sana katika maisha yetu kwa kupata ujuzi unaokuwezesha kujiajiri, kuondoa ujinga na kuendana na mazingira ya sasa ya kidigitali,” alisema.


Aidha, ameupongeza Mkoa wa Singida kwa mafanikio makubwa katika sekta ya elimu, akibainisha kuwa kiwango cha ufaulu kimefikia asilimia 98, huku shule mpya zikijengwa ili kuhakikisha vijana wanaendelea na masomo hadi vyuo vikuu. “Sisi kama mkoa wa Singida tumejiwekeza katika ujenzi wa miundombinu ya elimu na vifaa vya kujifunzia ili vijana wetu wapate fursa bora za elimu ya sayansi na teknolojia,” aliongeza.


Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Mhe. Moses Machali, alisema elimu ndiyo msingi wa kila jambo duniani na kusisitiza shule nyingi nchini kujifunza kutoka Singida kutokana na mbinu zake za vitendo ambazo zimekuwa chachu ya mabadiliko ya jamii.


Katika taarifa yake, Afisa Elimu ya Watu Wazima Mkoa wa Singida Bi.Sarah Mkumbo alibainisha kuwa licha ya mafanikio makubwa yaliyopatikana, changamoto ya usafiri wa kufikia maeneo ya utoaji huduma za elimu bado ipo na inahitaji kupatiwa ufumbuzi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO (WASIMAMIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA) October 23, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • RATIBA YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KATA YA URUGHU

    September 20, 2025
  • RATIBA YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KATA YA MTEKENTE

    September 20, 2025
  • SIKU YA USAFI DUNIANI

    September 19, 2025
  • SIKU YA USAFI DUNIANI

    September 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.