• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DC MWENDA: TUFANYE MAZOEZI KUIMARISHA AFYA ZETU

Posted on: February 1st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda Jumamosi Februari 1, 2025 amewaongoza Mamia ya Wana Mazoezi Katika Mazoezi ya Viungo yaliyofanyika Katika mji wa Shelui yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Shelui.


Akizungumza baada ya Kushiriki Mazoezi hayo DC Mwenda amewasisitiza Wananchi kuendelea kufanya Mazoezi ili kuimarisha afya zao na kuepuka Magonjwa yasiyoambukiza.


Aidha Mwenda ameeleza kuwa Maradhi yasioambukiza ikiwemo Kisukari,Presha, Unene uliopitiliza Shinikizo la Moyo yamekuwa Tishio la Kiafya hivi sasa lakini yanaepukika kwa jamii kufanya mazoezi.

"Wapo wenzetu wengi wamejipatia ajira kupitia Michezo na wanalipwa Fedha nyingi kupitia vipaji vyao,Tujiwekee ratiba kwa Wananchi wetu kufanya mazoezi na Wanafunzi wetu tuhakikishe ratiba ya Michezo inatekelezwa kikamilifu ."Amesema DC Mwenda.


DC Mwenda amewahakikishia wanamichezo Wilayani Iramba kuwa azma yake ya kugawa vifaa vya Michezo Iko palepale na wake wote watakaofanya vizuri nitatoa seti ya vifaa vya Michezo kusisitiza kuwashawishi Watu wengi zaidi kufanya Mazoezi


Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Shelui Agnes Nassania amemuhakikishia DC Mwenda kuwa wanejipanga kuhakikisha wanaendeleza mazoezi hayo kwa lengo la kuimarisha Afya dhidi ya magonjwa yasiyoambukizwa.


"Nikuhakikishie Kiongozi wetu,Shelui tutaendelea kufanya mazoezi kwa lengo la kuimarisha Afya zetu na kuibua vipaji vya Vijana wetu kuanzia ngazi ya Vitongoji na Vijiji". amesisitiza Diwani Kata ya Shelui Agnes Nassania.


Wilaya ya Iramba imejiwekea utaratibu wa kuhakikisha Wananchi wote wanashiriki kwenye mazoezi ili kuimarisha Afya zao,Mazoezi haya ni endelevu na zawadi mbalimbali zitatolewa kwa wale wote watakaoshiriki kwenye mazoezi kwa ajili ya kuimarisha Afya.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • SIKU YA UKIMWI DUNIANI DISEMBA 1,2025

    December 01, 2025
  • MAZOEZI YA VIUNGO YA KILA IJUMAA KWA WATUMISHI NA WANANCHI WOTE WA KIOMBOI NA MAENEO YA JIRANI

    November 27, 2025
  • RATIBA YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KATA YA KASELYA

    November 25, 2025
  • DC MWENDA AWAPONGEZA WALIMU NA WANAFUNZI WILAYANI IRAMBA KWA MATOKEO MAZURI MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI

    November 24, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.