• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DC MWENDA: TUFANYE MAZOEZI KUIMARISHA AFYA ZETU

Posted on: February 1st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda Jumamosi Februari 1, 2025 amewaongoza Mamia ya Wana Mazoezi Katika Mazoezi ya Viungo yaliyofanyika Katika mji wa Shelui yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Shelui.


Akizungumza baada ya Kushiriki Mazoezi hayo DC Mwenda amewasisitiza Wananchi kuendelea kufanya Mazoezi ili kuimarisha afya zao na kuepuka Magonjwa yasiyoambukiza.


Aidha Mwenda ameeleza kuwa Maradhi yasioambukiza ikiwemo Kisukari,Presha, Unene uliopitiliza Shinikizo la Moyo yamekuwa Tishio la Kiafya hivi sasa lakini yanaepukika kwa jamii kufanya mazoezi.

"Wapo wenzetu wengi wamejipatia ajira kupitia Michezo na wanalipwa Fedha nyingi kupitia vipaji vyao,Tujiwekee ratiba kwa Wananchi wetu kufanya mazoezi na Wanafunzi wetu tuhakikishe ratiba ya Michezo inatekelezwa kikamilifu ."Amesema DC Mwenda.


DC Mwenda amewahakikishia wanamichezo Wilayani Iramba kuwa azma yake ya kugawa vifaa vya Michezo Iko palepale na wake wote watakaofanya vizuri nitatoa seti ya vifaa vya Michezo kusisitiza kuwashawishi Watu wengi zaidi kufanya Mazoezi


Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Shelui Agnes Nassania amemuhakikishia DC Mwenda kuwa wanejipanga kuhakikisha wanaendeleza mazoezi hayo kwa lengo la kuimarisha Afya dhidi ya magonjwa yasiyoambukizwa.


"Nikuhakikishie Kiongozi wetu,Shelui tutaendelea kufanya mazoezi kwa lengo la kuimarisha Afya zetu na kuibua vipaji vya Vijana wetu kuanzia ngazi ya Vitongoji na Vijiji". amesisitiza Diwani Kata ya Shelui Agnes Nassania.


Wilaya ya Iramba imejiwekea utaratibu wa kuhakikisha Wananchi wote wanashiriki kwenye mazoezi ili kuimarisha Afya zao,Mazoezi haya ni endelevu na zawadi mbalimbali zitatolewa kwa wale wote watakaoshiriki kwenye mazoezi kwa ajili ya kuimarisha Afya.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.