• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

DED MATOMORA - TOENI ELIMU YA CHANJO KWA JAMII

Posted on: December 6th, 2024

Timu ya Uendeshaji huduma za Afya Wilaya (CHMTs) na Wakuu wa vituo vya kutolea huduma za Afya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida wametakiwa kutoa elimu ya umuhimu wa chanjo kwa jamii ili kurahisisha shughuli hiyo ya utoaji chanjo itakavyoanza badaye mwezi huu.


Kauli hiyo imetolewa Ijumaa Disemba 6,2024 na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Ndugu Michael Agustino Matomora katika kikao cha tathmini ya takwimu za idara ya afya kwa robo ya mwezi julai hadi septemba 2024 na maandalizi ya wiki ya chanjo.


Amesema pamoja na kutoa elimu kwa wananchi wahakikishe wanawatafuta watoto waliohasi chanjo ili wapate huduma hiyo itakayowasaidia kujilinda na maradhi mbalimbali.


“Kwa sasa tuna asilimia 5 ya watoto waliohasi chanjo, tukawatafute na kuwapa chanjo pamoja na kuweka mikakati endelevu ya kuzuia kuhasi tena chanjo hizi.” Alisema Matomora.


Aidha, Matomora alielekeza kuboresha viashiria vya afya ya uzazi na mtoto ikiwa ni pamoja na kuweka mkakati wa kuhakikisha wajawazito wanajifungua katika vituo vya afya, mbapo kwa sasa ni asilimia 83 ya wajawazito wanaojifungua katika vituo hivyo ikiwa ni chini ya lengo la asilimia 95.


Pia amesisitiza kuhusu utekelezaji wa sera ya uzazi wa mpango ili kufikia malengo ya Serikali katika sera hiyo.


Akitoa takwimu za chanjo kwa robo ya Julai hadi Septemba Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Dkt. Glory Cleophace Andrew alisema bado kuna changamoto ya baadhi ya watoto ambao hawapati chanjo na hivyo kwa sasa imewekwa mikakati ya kuzuia hali hiyo ili kuondoa hatari ya magonjwa ya milipuko.


“Kwa mwaka uliopita kulikuwa na milipuko ya surua, baadhi ya maeneo lakini pia Wilaya ya Iramba ilitugusa kidogo. Pia Kuna magonjwa mengine ambayo kama hatutafanya shughuli hii ya chanjo vizuri milipuko hii inaweza ikatokea” Alisema Dkt. Gloria Cleophace Andrew


Wiki ya chanjo inatarajiwa kuanza Decemba 16, 2024 na itakamilika decemba 20 mwaka huu kwenye vituo vyote 49 vinavyotoa huduma ya chanjo.




Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA IRAMBA MAGHARIBI AWATAKA WAENDESHA VIFAA VYA BVR NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI KUFANYA KAZI KWA WELEDI ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI (PHC) IRAMBA YAJADILI MIKAKATI YA CHANJO YA POLIO SINDANO YA PILI

    May 09, 2025
  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.