• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Dkt. Ndungulile amezindua mradi wa maji katika kijiji cha Ruruma Wilayani Iramba

Posted on: October 30th, 2018

Naibu waziri wa afya, jinsia wazee na watoto Mhe. Dkt Faustine Ndugulile (Mb) amefanya Ziara ya Kikazi wilaya ya iramba. Katika ziara hiyo Mhe; Dkt Ndungulile amezindua mradi wa maji katika kijiji cha Ruruma Wilayani Iramba Mradi huu wa maji katika kijiji cha Ruruma ni mmoja wapo ya shughuli ambazo mradi wa world vision umekuwa ukitekeleza kwa kushirikiana na jamii/Wadau mbalimbali na umetekelezwa kwa ufadhili wa world vision UK(Uingereza). Aidha mradi huu ulitokana na hitaji la jamii husika katika kukabiliana na changamoto ya Upatikanaji wa maji safi na salama.

Mradi huu ulitekelezwa katika awamu mbili: awamu ya kwanza ilikuwa ni utafiti na uchimbaji wa kisima kirefu ambao ulifanyika kwa mwaka wa fedha 2016/2017

Awamu ya pili ilikuwa ni usambazaji wa maji pamoja na ujenzi/ununuzi wa tanki la kuifadhia na kusambazia maji vituo  vikuu vinne vikiwemo vituo katika shule ya msingi Ruruma pamoja na zahanati ya kijiji cha Ruruma ambayo ilitekelezwa kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Mradi huu unategemea kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo lililokuwepo la Upatikanaji wa maji safi na salama kwa kuwanufaisha kaya 813 wakiwemo watoto na akina mama ambao ndiyo waliokuwa wakipata shida Zaidi kwa kuchimba madimbwi mitoni kwa nia ya kupata maji ambayo pia hayakuwa salama kwa afya/Matumizi ya binadamu.

Aidha taasisi zinazofaidika pia na huduma/mradi huu ni pamoja na zahanati ya kijiji yenye uwezo wa kuhudumia watu 45 kwa siku pamoja na shule ya msingi yenye Jumla ya wanafunzi 584 na walimu 10.

Mradi huu mpaka kukamilisha umegharimu fedha za Kitanzania Tsh. 154,617,776/=. Mradi huu ulikamilisha na kukabidhi kwa jamii vyoo vilivyo gharimu Tshs. 21,000000 kwa ajili ya wanafunzi wa kike na kiume vyenye Jumla ya matundu 8 ikiwa ni pamoja na chumba maalum cha kujisitiri kwa ajili ya wanafunzi wa kike.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.