• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

HAFLA YA KUKABIDHI KITUO CHA AFYA MUKULU

Posted on: July 16th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Mwenda ameishukuru Benki ya CRDB kwa kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya Mukulu akisema kitasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wa Kata ya Mukulu na maeneo jirani.


Kutokana na uhitaji kuongezeka kila siku, Mheshimiwa Mwenda amesema serikali inafanya jitihada kubwa kuboresha huduma za afya na inawaikaribisha sekta  binafsi kuongeza nguvu ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma katika maeneo jirani.


"Niwashukuru sana Benki ya CRDB kwa kutusaidia kukijenga, hakika ninyi ni benki ya mfano nchini,” amesema DC Mwenda.


Mwenda amesema hayo kwenye hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika Kijiji cha Mukulu akimwakilisha Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi ambaye pia ni Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba aliyeomba ujenzi wa kituo hicho cha afya kwa niaba ya wananchi.


Akikabidhi kituo hicho, Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Dkt. Donald Mmari amesema ni utaratibu wa benki kutenga asilimia moja ya faida yake baada ya kodi kila mwaka ili kusaidia kutekeleza miradi inayowalenga wananchi.


“Mradi huu wa Kituo cha Afya Mukulu ni ushuhuda wa utekelezaji wa sera hiyo. Ujenzi wa kituo hiki unalenga kuboresha huduma za afya kwa wananchi na wakazi wa hapa. Ujenzi wake umefanyika kwa weledi na ushirikiano wa karibu baina yetu na halmashauri tukizingatia mahitaji halisi ya wananchi wa hapa Mukulu na Wilaya nzima ya Iramba,” amesema




Tangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KUJADILI NA KUPOKEA TAARIFA YA CAG MWAKA WA FEDHA 2023/2024 TAREHE 18, JUNI 2025 June 16, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • KIKAO CHA KAMATI YA LISHE NGAZI YA HALMASHAURI KWA KIPINDI CHA ROBO YA NNE YA MWEZI APRILI HADI JUNI 2025 CHAFANYIKA

    July 29, 2025
  • MRADI WA SEQUIP WAJENGA SHULE 6 MPYA IRAMBA - DC MWENDA

    July 28, 2025
  • DC MWENDA AIPONGEZA TBC KWA KAMPENI YA 27 YA KIJANI WILAYANI IRAMBA

    July 27, 2025
  • DC MWENDA AWASHUKURU WANANCHI KWA KUFANIKISHA UJIO WA MWENGE WA UHURU 2025 WILAYANI IRAMBA

    July 22, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.