• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoani Singida imehitimisha mashindano ya michezo ya sekondari Tanzania (UMISSETA)

Posted on: May 25th, 2018

Halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoani Singida imehitimisha mashindano ya michezo ya sekondari Tanzania (UMISSETA) kwa mwaka 2018 katika uwanja wa CCM Lulumba.

UMISSETA ni Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari hukutanisha wachezaji waliochujwa kutoka shule mbalimbali.

Mashindano hayo yamehusisha soka, Netboli, Kikapu, Bao, Kurusha Tufe, Mikono, Meza, wavu, na Riadhaa ambayo yameshirikisha shule za tarafa mbalimbali wilayani humo ambapo washindi wameshindanishwa na Tarafa ya Kisiriri kuibuka mshindi na hatimaye kupata timu ya wilaya.

Akizungumza na wachezaji kutoka shule za sekondari Tarafa Shelui, shule za sekondari Tarafa ya Ndago, shule za sekondari Tarafa ya Kinampanda na shule za sekondari Tarafa ya Kisiriri. Mkuu wa wilaya ya Iramba Mhe. Emmanule Luhahula aliwata wachezaji hao kuwa wamoja.

Mhe. Luhahula Alisema pamoja na kuwa wachezaji hao wanatoka shule mbali mbali wilayani humo wanapaswa kushirikiana na kupata ushindi pindi watakapo cheza na wilaya zingine kutafuta wawakilishi ngazi ya taifa.

Mkuu wa wilaya ya iramba aliongeza kuwa ninyi ni wamoja na mnatoka wilaya moja tunataka mtuoneshe ufundi wenu, vipaji na ushindani ili tupate timu bora zitakazoshindana na Mikoa mingine.

Ofisa Elimu Sekondari wa wilaya ya Iramba Bi. Elizaberth Lusingu aliwata wachezaji hao kucheza kwa juhudi na maarifa na kusema kuwa michezo ni upendo, huleta furaha pia kutoa ajira endapo wachezaji watajituma.

Machindano ya UMISSETA kimkoa yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 27 hadi 29/2018 katika Halmashauri ya wilaya Itigi mkoani Singida Wakati kitaifa yanatajiwa kufanyika Chuo cha Ualimu Butimba Mkoani Mwanza June 04 hadi 15 mwaka huu.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.