• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

IRAMBA DC YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE, WASICHANA 137 WAPEWA ELIMU KUHUSU HAKI NA ULINZI DHIDI YA UKATILI

Posted on: October 13th, 2025

IRAMBA DC YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE, WASICHANA 137 WAPEWA ELIMU KUHUSU HAKI NA ULINZI DHIDI YA UKATILI


Oktoba 13, 2025


Halmashauri ya Wilaya ya Iramba imeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike katika Shule ya Sekondari Lulumba iliyopo Kata ya Old Kiomboi, ambapo jumla ya wanafunzi wa kike 137 walishiriki. Maadhimisho hayo yalilenga kuwajengea uelewa kuhusu haki, malezi na ulinzi dhidi ya ukatili wa kijinsia.


Wakati wa maadhimisho hayo, wanafunzi walipata mafunzo kutoka kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri akiwemo Zulfa Omary, aliyewasilisha mada kuhusu kupinga ukatili wa kijinsia, na Joyce Kapinga, aliyefundisha kuhusu malezi bora na haki za mtoto wa kike.


Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalum, Ndg. Mtaki Magina alisisitiza umuhimu wa kuenzi siku hii, akibainisha kuwa ni jukwaa muhimu kwa watoto wa kike kupaza sauti na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii.


Kwa mujibu wa kalenda ya Umoja wa Mataifa, tarehe 11 Oktoba kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike, ikiwa ni siku muhimu ya kutambua mchango na uwezo wa mabinti katika jamii. Mwaka huu maadhimisho hayo yamebeba kaulimbiu isemayo: "Mimi Mtoto wa Kike, Mimi Huongoza Mabadiliko: Wasichana Katika Kitovu cha Migogoro.”

Tangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO (WASIMAMIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA) October 23, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • WAKAZI WA KIOMBOI WAENZI UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA JADI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025

    October 19, 2025
  • DAS MWAKIBETE ASHIRIKI BONANZA LA MICHEZO YA JADI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025

    October 25, 2025
  • IRAMBA YANUFAIKA NA HUDUMA YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA

    October 14, 2025
  • KUMBUKUMBU YA MIAKA 26 YA KIFO CHA MWALIMU J. K. NYERERE

    October 14, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.