Timu ya Karata kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iramba inaendelea kukimbiza katika Mashindano ya Michezo ya Shirikisho la Michezo Serikali za Mitaa Tanzania (SHIMISEMITA) yanayoendelea kufanyika jijini Tanga.
Leo, Tarehe 25 Agosti, 2025, mchezaji Silas William ameendelea kufanya vizuri na kufanikiwa kuingia hatuna ya 16 Bora kundi la wanaume kwa ustadi mkubwa.
KIOMBOI, IRAMBA
Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA
Telephone: 026 - 2532253
Mobile: 026 - 2533001
Email: ded.irambadc@singida.go.tz
Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.