• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

JAMII YAASWA KUSIMAMIA MAADILI YA VIJANA NA WATOTO IRAMBA

Posted on: August 21st, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Iramba, mkoani Singida, Suleiman Yusuph Mwenda, ameitaka jamii kushirikiana katika kuwalea Vijana/watoto kwa maadili mema kuanzia ngazi ya familia ili kuepusha mmomonyoko wa maadili.


Akizungumza katika ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika vijiji vya Kisimba, Kata ya Kisiriri na Kinambeu, Old Kiomboi, DC Mwenda alisema hakuna mzazi au mlezi anayefurahia kuona kijana/mtoto wake akijihusisha na tabia zinazokwenda kinyume na maadili ya Kitanzania.


“Jamii nzima tunawajibika kuwasimamia na kuwalea vizuri watoto wetu katika maadili yanayofaa kuanzia ngazi za familia,” alisema Mwenda,Alionya vijana dhidi ya vitendo viovu vinavyokiuka sheria na kuagiza Jeshi la Polisi wilayani humo kuendeleza misako kwa watakaokaidi maelekezo hayo. Alisema DC Mwenda


Aidha, aliwataka wazazi kuendelea kuwasisitiza vijana wao kushiriki kwenye shughuli za uzalishaji Malik ili kuepukana na vitendo vya udokozi na wizi wa vitu vidogovidogo.


Ziara hiyo iliambatana na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, wakuu wa taasisi za umma na wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iramba.


Kwa upande wake, Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii, Mtaki Magina, alisisitiza wajibu wa jamii nzima katika malezi bora ya watoto na kuwataka wananchi kuachana na biashara haramu zisizokuwa na faida kwa jamii.


Kaimu Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisimba Janson Mpenda,kwa niaba ya viongozi wenzake wa kijiji cha Kisimba, alimshukuru DC Mwenda kwa usikivu na utekelezaji wa ahadi zake katika kuleta maendeleo wilayani humo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO (WASIMAMIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA) October 23, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • IRAMBA DC YATINGA NUSU FAINALI MBIO ZA MITA 200 SHIMISEMITA 2025, TANGA

    August 23, 2025
  • JAMII YAASWA KUSIMAMIA MAADILI YA VIJANA NA WATOTO IRAMBA

    August 21, 2025
  • SHIMISEMITA 2025

    August 16, 2025
  • SHIMISEMITA 2025

    August 16, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.