• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

JUMLA YA TSHS M 411.939.ZIMEKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI YA KINAMBEU ULIOCHUKUWA TAKRIBANI MIAKA 12 ,MKUU WA WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA SULEMAN MWENDA AELEZA

Posted on: August 26th, 2023

JUMLA YA TSHS M 411.939.ZIMEKAMILISHA  UJENZI WA ZAHANATI YA KINAMBEU ULIOCHUKUWA TAKRIBANI MIAKA  12 ,MKUU WA WILAYA  YA IRAMBA MKOANI SINGIDA SULEMAN MWENDA  AELEZA

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida; Suleman Yusuph MWENDA,Amezindua Rasmi Zahanati ya Kinambeu iliyopo katika Kata ya Old-Kiomboi Wilayani Iramba Mkoani Singida ,iliyojengwa Kwa Awamu mbili Tofauti na kuchukuwa TAKRIBANI MIAKA 12 kukamilika ambpo Kwa mara ya kwanza ilianzishwa kujengwa Kwa nguvu za Wananchi Tangu Julay 25---2011.

Akiongea na Wananchi Wa kijiji Cha Kinambeu mkuu wa Wilaya ya Iramba Suleman Yusuph Mwenda; Amesema Zahanati hiyo itatoa Huduma ya Afya Kwa Mama wajawazito na Watoto pia Jamii ya Iramba Kwa ujumla.


Aidha Mwenda Amewataka Wananchi hao kuitunza Zahanati hiyo Ili Iweze kudumu na kutoa Huduma njema Kwa Wananchi huku wakipanda miti na kutinza mazingira.


Kwa hatua nyingine Dc Mwenda Amempongeza Katibu Mkuu wa chama  Cha Mapinduzi CCM ndg Daniel chongolo Kwa mchango wake wa m1 pamoja na mbunge wa Iramba Dr.Mwingulu kwa Mchango wa Tsh milioni 2 lakini Kwa kuiagiza Serikali kuu kuleta Tsh M200 kumalizia jengo.


Hata hivyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Iramba Innocent Said Msengi Amesema mpaka Sasa Iramba inapaa Kwa kuwa na Zahanati 51 kati ya Vijiji 70 na kubakia Zahanati 19 kukamilisha kila kijiji kuwa na Zahanati yake.

Awali akisoma Taarifa Kwa Mgeni Rasmi kaimu Mganga mkuu w Wilaya ya Iramba  Timothy Sumbe Amesema  Zahanati hiyo ilianza na tsh Milioni 7.069 nguvu za Wananchi na kupata Muhisani  Kwa ubalozi wa Japani aliyetoa  Tsh Milioni 158.858.


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.