• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, B’hango Lyangwa amezindua mashindano ya umitashumta Wilayani Iramba

Posted on: February 21st, 2020

Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, B’hango Lyangwa amezindua mashindano ya umitashumta Wilayani Iramba.

Lyangwa amezindua mashindano hayo leo Ijumaa  Februari 21, 2020 katika uwanja wa shule ya Msingi Kiomboi Bomani mjini hapa.

Amewahamasisha wanafunzi kua wanapaswa kuzingatia michezo kwa kua michezo inajenga afya, ushirikiano na fursa inayoleta ajira.

Pia amewataka kua na nidhamu pindi  wawapo ndani ya uwanja ili wasiweze kuumizana na hata wanapo kua nje ya uwanja.

Aidha ametumia nafasi hiyo kuwapongeza Walimu kwa uvumilivu mkubwa walionao wa kuwalea wanafunzi hao kimaadili, nidhamu na kimichezo.

Wanafunzi hao wakilelewa kwa nidhamu hiyo ni wazi kua watapatikana wachezaji wazuri na mwisho kua na timu nzuri itakayoweza kuitangaza Iramba kitaifa.

Kupitia kauli mbiu ya mwaka 2020 inayosema “Hongera Awamu ya Tano kuenzi sanaa, taaluma na michezo, 2020 chagua viongozi bora kwa maendeleo endelevu,"

Lyangwa ameitaka hadhira iliyohuzuria uzinduzi huo kuienzi serikali ya Awamu ya Tano kwa sababu inathamini na kuendeleza michezo.

Awali akitoa taarifa fupi ya uzinduzi wa mashindano ya michezo na taaluma kwa shule za msingi Tanzania, Afisa Utamaduni wa Wilaya hiyo, John Kitto amesema uzinduzi utahusisha michezo mbalimbali itakayofanyika katika shule zote zilizopo  Wilaya Iramba.

Ingawa kiwilaya uzinduzi unafanyika katika viwanja vya shule ya msingi Kiomboi Bomani kwa kushirikisha shule tano zinazowakilisha shule zote zilizopo katika Halmashari.

Kitto amezitaja shule hizo, kua zipo zilizotengwa kanda A ambapo inajumuisha shule ya msingi Igumo, Kiomboi Bomani na Kizega.

Wakati kanda B inajumuisha shule ya msingi Lulumba na Salala.

Kufuatia uzinduzi huo, michezo anuai ilichezwa kwa kushirikisha kanda A na kanda B.

Ambapo mchezo wa mpira wa miguu uliowakutanisha kati ya Kanda A na kanda B kwa upande wa wavulana na kusakata kandanda safi lililoifanya kanda A kuibuka na Ushuindi mwembamba  wa bao moja bila dhidi ya kanda B.

Nao upande wa wasichana kati ya kanda A na kada B kwa mpira wa miguu uliopigwa katika kiwanja hicho na kuufanya mchezo huo kuisha bila ya kufungana.

Kwa upande wa mchezo wa netball uliotimua vumbi katika kiwanja hicho, mpaka dakika  zinakamila  ni Kanda B walioibuka na ushindi wa mabao 13 dhidi ya Kanda A.

Uzinduzi huo pia ulihusisha mchezo wa kuvuta kamba, mpira wa wavu, kukimbia riyadha na uimbaji wa kwaya.                                                                                                                                                 

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, B’hango Lyangwa akimpigia mpira kipa wa timu ya Walimu kuashiria uzinduzi wa  mashindano ya umitashumta Wilayani Iramba. Picha na Hemedi Munga                                                                                                                                                                                                                                                                                                         

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, B’hango Lyangwa akimpigia mpira kipa wa timu ya Wanafunzi kuashiria uzinduzi wa  mashindano ya umitashumta Wilayani Iramba. Picha na Hemedi Munga                                                                                                                                                                                                                                                                                                         

Afisa Utamaduni wa Wilaya ya Iramba, John Kitto akitoa taarifa fupi ya uzinduzi wa mashindano ya michezo na taaluma kwa shule za msingi zilizopo Iramba. Picha na Hemedi Munga                                

Wanafunzi mbalimbali wakiwa katika uwanja wa shule ya msingi Kiomboi Bomani wakiendelea na mchezo wa wavu. Picha na Hemedi Munga

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA IRAMBA MAGHARIBI AWATAKA WAENDESHA VIFAA VYA BVR NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI KUFANYA KAZI KWA WELEDI ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI (PHC) IRAMBA YAJADILI MIKAKATI YA CHANJO YA POLIO SINDANO YA PILI

    May 09, 2025
  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.