• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Kamati ya fedha, Mipango na utawala wilaya ya Iramba imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani Iramba mkoani Singida.

Posted on: February 6th, 2019

Kamati ya fedha, Mipango na Utawala wilaya ya Iramba ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Mhe: Simion Tyosera (Diwani wa CCM kata ya Urughu) na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Mwl. Linno Mwageni na Wakuu wa Idara na Vitengo wamefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani Iramba

Ziara ya ukaguzi wa hatua ya ujenzi wa miundombinu katika miradi mbali mbali ya maendeleo ndani ya wilaya ya Iramba imefanyika leo katika maeneo yaliyoshirikisha ujenzi wa miradi hiyo ya maendeleo kwa jamii.

Ziara hiyo iliongozwa na jopo la Kamati ya Wilaya ya Fedha, Mipango na Utawala wilayani Iramba inayoundwa na waheshimiwa Madiwani wa kata mbali mbali wilayani humo.

Katika ziara hiyo kamati ya Wilaya ya Fedha, Mipango na Utawala imefanya ukaguzi katika Ujenzi wa miradi ya maendeleo ya Ujenzi hosteli ya shule ya sekondari Kinambeu, Ujenzi wa stendi ya magari makubwa Misigiri na chuo cha ufundi stadi (VETA) kwa lengo la kuwawezeha vijana wanaotoka katika maeneo ya vijijini ili waweze kujifunza fani mbalimbali ambazo zitawasaidia kupata ujuzi na kuanzisha viwanda vidogovidogo na kujiajiri wao wenyewe.

Jopo hilo la Madiwani ambao pia ndiyo kamati ya fedha, Mipango na Utawala ya Wilaya ilipongeza hatua ya Ujenzi iliyofikiwa katika miradi hiyo huku wakiendelea kusisitiza madiwani wa kata husika watendaji, wenyekiti wa vijiji na vitongoji kuhakikisha kwamba wanashirikiana kwa pamoja na wananchi wao kukamilisha miradi hiyo katika muda pangwa.

Kamati ya Fedha, Mipango na Utawala imeongeza kusema kwamba inatambua vyema nguvu za wananchi wa maeneo hayo katika kufanikisha Ujenzi wa miradi hiyo ya maendeleo hadi kufikia hapo ilipo sasa na kusema ni hatua kubwa waliyoichukua ya kujitambua na kuhakikisha wanashirikiana na serikali ya awamu ya tano

Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.