• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Kamati ya fedha, Mipango na utawala wilaya ya Iramba imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani Iramba mkoani Singida.

Posted on: February 6th, 2019

Kamati ya fedha, Mipango na Utawala wilaya ya Iramba ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Mhe: Simion Tyosera (Diwani wa CCM kata ya Urughu) na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Mwl. Linno Mwageni na Wakuu wa Idara na Vitengo wamefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani Iramba

Ziara ya ukaguzi wa hatua ya ujenzi wa miundombinu katika miradi mbali mbali ya maendeleo ndani ya wilaya ya Iramba imefanyika leo katika maeneo yaliyoshirikisha ujenzi wa miradi hiyo ya maendeleo kwa jamii.

Ziara hiyo iliongozwa na jopo la Kamati ya Wilaya ya Fedha, Mipango na Utawala wilayani Iramba inayoundwa na waheshimiwa Madiwani wa kata mbali mbali wilayani humo.

Katika ziara hiyo kamati ya Wilaya ya Fedha, Mipango na Utawala imefanya ukaguzi katika Ujenzi wa miradi ya maendeleo ya Ujenzi hosteli ya shule ya sekondari Kinambeu, Ujenzi wa stendi ya magari makubwa Misigiri na chuo cha ufundi stadi (VETA) kwa lengo la kuwawezeha vijana wanaotoka katika maeneo ya vijijini ili waweze kujifunza fani mbalimbali ambazo zitawasaidia kupata ujuzi na kuanzisha viwanda vidogovidogo na kujiajiri wao wenyewe.

Jopo hilo la Madiwani ambao pia ndiyo kamati ya fedha, Mipango na Utawala ya Wilaya ilipongeza hatua ya Ujenzi iliyofikiwa katika miradi hiyo huku wakiendelea kusisitiza madiwani wa kata husika watendaji, wenyekiti wa vijiji na vitongoji kuhakikisha kwamba wanashirikiana kwa pamoja na wananchi wao kukamilisha miradi hiyo katika muda pangwa.

Kamati ya Fedha, Mipango na Utawala imeongeza kusema kwamba inatambua vyema nguvu za wananchi wa maeneo hayo katika kufanikisha Ujenzi wa miradi hiyo ya maendeleo hadi kufikia hapo ilipo sasa na kusema ni hatua kubwa waliyoichukua ya kujitambua na kuhakikisha wanashirikiana na serikali ya awamu ya tano

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA November 03, 2023
  • KUITWA KAZINI November 29, 2023
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2018 HALMASHAURI YA WILAYA IRAMBA January 05, 2019
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2018 January 05, 2019
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Iramba wamefanya ziara ya Ukaguzi wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa Wilayani Iramba

    October 24, 2023
  • RAIS DKT. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI SINGIDA KWA KISHINDO, WANANCHI WAMSHUKURU KWA MIRADI YA MAENDELEO

    October 17, 2023
  • MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amepokea rasmi Mbio za Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Tabora na aliyekabidhi ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Batlida Briani.

    September 22, 2023
  • MKIMBIZA Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Abdalla Shaibu Kaim amewataka Watanzania kuhakikisha wanakemea vitendo vya rushwa kwa maelezo kuwa rushwa inakwamisha maendeleo ya Mkoa pamoja na Taifa kwa ujumla

    September 22, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.