• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

KAMATI YA FEDHA MIPANGO NA UTAWALA YA WILAYA YA IRAMBA YARIDHISHWA NA UBUNIFU KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: July 25th, 2023


Kamati ya fedha,Mipango na utawala  ya Halmashauri wilaya ya Iramba imeeleza kuridhishwa kwake na ubunifu uliotumika katika kutekeleza miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa kupitia mradi wa BOOST na ile iliyotekelezwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu.


Mwenyekiti wa Kamati hiyo,Mhe. Innocent Msengi ameeleza kuridhishwa na hali ya utekeleza wa miradi hiyo baada ya kukamilika kwa ziara iliyofanyika   Julai 24, 2023  ambapo miradi mbalimbali ikiwemo y, Elimu, Utawala na Afya  iliweza kutembelewa na kukaguliwa.


Mhe. Msengi ametoa pongezi kwa walimu wakuu na wakuu wa shule,watendaji wa kata na Wataalamu wa idara ya Afya walioonesha ubunifu katika miradi hiyo na kuwataka watekelezaji wengine kuiga mfano huo ambao ameuita ni wa Kizalendo, na kumtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba, kukaa na wataalamu ili kurekebisha kasoro zilizobainika katika miradi michache ikiwemo ya elimu na afya ili miradi iweze kukamilika na wananchi kunufaika nayo.


Aidha Mhe.Innocent Msengi ameipongeza Serekali ya awamu ya sita kwa kuona umuhimu wa kujenga Shule za msingi kupitia Mradi wa BOOST  nakusema kuwa ujenzi huo utakapokamilika wananchi watanufaika nao kwa upande wa elimu na kupunguza Adha ya wanafunzi kutembea umbali kwa ajili ya kupata elimu.


Naye Mwenyekiti wa kamati ya huduma za jamii Mhe. Peter John Peter, akizungumzia ziara hiyo amesema ni utaratibu wa kawaida ambao unaboresha utendaji kazi wa watumishi katika halmashauri ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi kuwapongeza wasimamizi wa miradi katika shule ya Msingi Kibululu,Ishanga,Zahanati ya Kinambeu kwa kusimamia vizuri miradi na kuwa wabunifu hali iliyofanya thamani halisi ya fedha kuonekana katika utekelezaji wa Mradi hiyo.


Kwa upande Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Mwalimu Godfrey Mwanjala  amewapongeza walimu,watendaji wa kata na Vijiji na wataalamu mbalimbali kwa usimamizi mzuri wa miradi ya BOOST na ile ya Serikali Kuu na kuwaasa watekelezaji wengine wa miradi inayoendelea na itakayokuja kuiga mfano mzuri wa walimu katika kusimamia miradi.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.