• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO IRAMBA YAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YENYE THAMANI YA TSH. BILIONI 2.7

Posted on: January 23rd, 2025


Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Halmashauri ya Wilaya ya Iramba imefanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali kwa robo ya Pili Mwaka wa fedha 2024/2025.


Ziara hiyo imefanyika Januari 23, 2025 kwa kutembelea miradi mbalimbali ikiwemo mradi wa Ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa, Matundu 6 ya Vyoo vya wanafunzi Shule ya Msingi Tyeme kupitia Mradi wa BOOST (Mil. 127,200,000), ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari inayojengwa Kata ya Mtoa Kupitia Mradi wa SEQIP (Mil. 544,225,626), Mradi wa Ujenzi wa vyumba Vinne vya madarasa, Mabweni 2 na matundu 12 ya Vyoo kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano Shule na Sekondari Kinambeu (Mil. 362,000,000), Ujenzi wa nyumba ya walimu mbili kwa Moja Shule ya Sekondari Iramba (Mil. 95,000,000)na ujenzi wa Shule mpya ya Amali iliyopo Kijiji Cha Kitukutu (Bil. 1,600,000,000).


Akitoa majumuisho ya ziara hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mhe. Innocent Msengi amepongeza hatua za ujenzi shule ya Msingi Tyeme, shule ya Sekondari Kinambeu, ujenzi wa vyumba ya mwalimu shule ya Sekondari Iramba na kusisitiza kuongeza kasi ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Mtoa na Shule mpya ya Amali.


Pia amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Wilaya ya Iramba fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Na amemshukuru Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba na viongozi wengine kwa kuendelea kuwatumikia Wananchi wa Wilaya ya Iramba.


"Kwanza namshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Kuleta fedha kwa Halmashauri yetu na pia Mkurugenzi Mtendaji kwa utekekelezaji wa miradi hii, rai yangu usimamizi uendelee kufanyike ili iishe kwa muda uliopangwa". Alisisitiza Mhe. Msengi.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.