• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Kamati ya kudumu ya bunge ya viwanda, biashara, na mazingira imefanya ziara ya kukagua machimbo ya dhahabu nkonkilangi wilaya ya iramba mkoani singida

Posted on: March 16th, 2018

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara, na Mazingira Mhe Ahmed Sadddiq Suleiman (Mb), akiwa na Makamu Mwenyekiti Mhe: Innocent Bashungwa (Mb), Naibu waziri wa Muungano na Mazingira Mhe: Kangi Alphaxard Lugola (Mb), Mhe: Balozi Dkt. Diodorus Buberwa Kamala (Mb), Mhe: Kanali (Mst)Masoud ali Khamis (Mb), Mhe: Musa Rashid Ntimizi (Mb), Mhe: Khamis Ali vuai (Mb),Mhe: Munira Mustafa Khatibu (Mb), Mhe: Gimbi Dotto. Masaba (Mb), Mhe: JosephineJohnson Genzabuke (Mb), Mhe: Omary Ahmad Badwel (Mb), Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe: Emmanuel Luhahula, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe: Simion Tiyosera, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Iramba Wakili: Boniface Engelberth Kalikona na Viongozi Mbalimbali wamefanya Ziara ya kukagua Machimbo ya Dhahabu Nkonkilangi Wilaya ya Iramba Mkoani Singida

Katika Ziara hiyo, Wamefanya Mkutano wa hadhara na Wachimbaji wadogo wadogo wa Dhahabu Nkonkilangi Wilaya ya Iramba Mkoani Singida ili kujua changamoto wanazozipata kwenye shughuli zao za Uchimbaji zikiwemo vifaa duni vya kutolea mawe ndani ya Mashimo pamoja na Vifaa vya Kuchenjua Dhahabu.

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira amewahimiza Wanchimbaji kujitegemea ili waweze kuingia kwenye uchumi wa Kati ili kuunga juhudi za Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe: Dkt. John Joseph Magufuli.

Vile vile amesistiza utunzaji wa Mazingira ni wajibuwa kila mmoja kuhakikisha Mazingira yanakuwa salama na kuwaomba viongozi wote kuongeza kasi ya kusimamia Sheria ya mazingira kwa wale ambao hawasimamii, sheria ichuke mkondo wake na sio tu kwenye migodi bali pia kwenye Viwanda.

Aidha amewapongeza Sana kwa hatua wanazozitekeleza kama wachimbaji wadogowadogo na kuwaahidi kutatua changamoto ambazo zipo nje ya uwezo wao kama Umeme, Pump ya kuvuta maji ndani ya Mashimo pamoja na kupewa Mikopo.

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Mhe:Emmanuel Luhahula akiwa na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira wakikagua Maduara ya Machimbo ya Dhahabu Nkonkilangi Wilaya ya Iramba Mkoani Singida.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.