• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

KAMATI YA USHAURI WILAYA DCC YAJADILI MAPENDEKEZO YA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Posted on: March 5th, 2025

KAMATI YA USHAURI YA WILAYA DCC YAJADILI MAPENDEKEZO YA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026


Kamati ya ushauri ya Wilaya ya Iramba DCC, imejadili na kupitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango wa bajeti yenye jumla ya kiasi cha Shilingi 38,088,278,131.59 kwa mwaka wa fedha 2025/2026.


Akifungua kikao hicho Machi 5,2025 katika ukumbi mkubwa wa mikutano Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda amesema lengo la kikao hicho ni kujadili taarifa mbalimbali za utendaji kazi wa Halmashauri kwa ujumla pamoja na kupitisha mapendekezo ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026.


Kikao kimehudhuriwa pia na Katibu Tawala Wilaya,Mwenyekiti wa Halmashauri,Kaimu Mkurugenzi,Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, Wakuu wa Idara na Vitengo,Viongozi mbalimbali wa Dini, Viongozi wa Vyama Vya Siasa na Wataalamu mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya Iramba.


Katika Kikao hicho , Rasimu ya mapendekezo ya Bajeti imewasilishwa na Kaimu Afisa Mipango na Uratibu Bi. Geni Madaha Megeli kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri.


Bi. Geni Megeli alifafanua kuwa Halmashauri inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya Tsh.38,088,278,131.59 kwa ajili ya kutekeleza majukumu mbalimbali ikiwemo  miradi ya maendeleo na kutoa mchanganuo wa fedha hizo zinazokadiriwa katika Bajeti hiyo kuwa kiasi cha shilingi 21,824,464,000.00 ni fedha ya mishahara ya Watumishi, Kiasi cha Shilingi 2,443,743,000.00 ni matumizi ya kawaida (OC), Kiasi cha Shilingi 2,062,726,000.00 ni Ruzuku ya miradi ya maendeleo, Kiasi cha Shilingi 5,083,457,252.00 ni fedha kutoka kwa wahisani/wadau wa maendeleo na Shilingi ni 5,234,842,879.59 fedha zitokanazo na vyanzo vya Mapato ya ndani ya Halmashauri.


Wajumbe wa kamati wamepata nafasi ya kupitia,kujadili na hatimaye kwa kauli moja wameridhia kupitisha rasimu hiyo ya bajeti kwenda katika ngazi nyingine.


Mwenyekiti wa kikao ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Iramba ametamatisha kwa kuwashukuru wajumbe wote kwa kushiriki na kuwapongeza kwa mawazo yao mazuri ya  kujenga.








Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA IRAMBA MAGHARIBI AWATAKA WAENDESHA VIFAA VYA BVR NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI KUFANYA KAZI KWA WELEDI ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI (PHC) IRAMBA YAJADILI MIKAKATI YA CHANJO YA POLIO SINDANO YA PILI

    May 09, 2025
  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.