• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa. Kitila Mkumbo amefanya ziara ya kukagua uchimbaji wa visima vya maji kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Posted on: January 25th, 2019

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa. Kitila Mkumbo amefanya ziara ya kukagua uchimbaji wa visima vya maji kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo ameongozana na Mkuu wa wilaya ya Iramba Mhe: Emmanuel Luhahula, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Mhe: Simion Tyosera (Diwani wa CCM kata ya Urughu), Kaimu mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Bi. Marietha Kasongo, Katibu tawala wilaya ya Iramba Ndg. Pius Songoma, waandisi wa maji ofisi ya mkuu wa mkoa wa Singida, waandisi wa maji wa wilaya ya Iramba na wataalamu mbalimbali katika ziara ya kukagua mradi wa uchimbaji wa visima kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilayani Iramba.

Akizungumza na kamati ya maji, Profesa kitila amemwaagiza mkandarasi pamoja na wataalamu wote wanaoshiriki kutekeleza mradi huo wasiwe kikwazo cha mradi huo kutokamilika kwa wakati na kufanikisha lengo la kumaliza kero ya maji kwa wakazi wa Kiomboi.

“Visima hivi vinatarajiwa kulisha mji wa Kiomboi pamoja na vijiji ambavyo vitapitwa na mradi huu, Lengo la mradi ni kuwapatia wananchi huduma ya maji safi na salama pamoja na kuboresha Afya na kuinua shughuli za kiuchumi za Wananchi, jukumu la wananchi watoe ushirikiano katika kutunza miundo mbinu iliyopo alisema Profesa Kitila.

Aliongeza kusema “Mradi huu una awamu mbili, awamu ya kwanza ya uchimbaji visima ambavyo vinagharimu kiasi cha Shilingi million 300 na mkandarasi wake ni wakala wa serkali wa ujenzi wa mabwawa na uchimbaji wa visima (DDCA) ambayo ni taasisi ya serikali na msimamizi wa mradi ni kampuni ya Don consult ltd.

Awali mradi huu tulitarajia ukamilike mwezi Januari 2019 lakini nimetembelea hapa na nimepata Maelezo ya wataalamu sasa tutalazimika kuongeza muda hadi Machi 2019 kutokana na Jiolojia walioikuta wataalamu katika uchimbaji wa visima, hata hivyo nimewaagiza kwamba wahakikishe mradi huu unakamilika mapema kwa sababu hii ni awamu ya kwanza tu na wamu ya pili ni mradi ambao utasanifiwa kwa ajili ya kusambaza maji kwa ajili ya kuelekea mji wa Kiomboi na vijiji ambavyo vitapitwa na mradi huu Alisisitiza Profesa Kitila.

Aidha Mradi wa pili utagharimu kiasi cha Shilingi bilioni 9 hadi billion 12, sasa hii awamu ya pili ndiyo kubwa lakini utekelezwaji wake unategemea kukamilika kwa mradi huu wa wamu ya kwanza na ilikuwa muhimu sana tufike hapa tuweze kutia msukumo, tunashukuru kwamba awamu ya kwanza ya uchimbaji wa kisima hiki kinaonesha kuna maji mengi, wataalam wameona kwamba maji ni ya kutosha takribani lita elfu 80 hadi laki 1 kwa saa ambayo yanatosha na ni mengi, tunarajia watakapopima yatakuwa maeneo haya na mpaka sasa wamechimba mita 106, lengo lilikuwa ni kufika mita 150 nadhani haitafika nadhani maji yameisha patikana  alisema Profesa Kitila.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA November 03, 2023
  • KUITWA KAZINI November 29, 2023
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2018 HALMASHAURI YA WILAYA IRAMBA January 05, 2019
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2018 January 05, 2019
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Iramba wamefanya ziara ya Ukaguzi wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa Wilayani Iramba

    October 24, 2023
  • RAIS DKT. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI SINGIDA KWA KISHINDO, WANANCHI WAMSHUKURU KWA MIRADI YA MAENDELEO

    October 17, 2023
  • MKUU wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amepokea rasmi Mbio za Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Tabora na aliyekabidhi ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Batlida Briani.

    September 22, 2023
  • MKIMBIZA Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Abdalla Shaibu Kaim amewataka Watanzania kuhakikisha wanakemea vitendo vya rushwa kwa maelezo kuwa rushwa inakwamisha maendeleo ya Mkoa pamoja na Taifa kwa ujumla

    September 22, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.