• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa. Kitila Mkumbo amefanya ziara ya kukagua uchimbaji wa visima vya maji kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Posted on: January 25th, 2019

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa. Kitila Mkumbo amefanya ziara ya kukagua uchimbaji wa visima vya maji kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo ameongozana na Mkuu wa wilaya ya Iramba Mhe: Emmanuel Luhahula, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Mhe: Simion Tyosera (Diwani wa CCM kata ya Urughu), Kaimu mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Bi. Marietha Kasongo, Katibu tawala wilaya ya Iramba Ndg. Pius Songoma, waandisi wa maji ofisi ya mkuu wa mkoa wa Singida, waandisi wa maji wa wilaya ya Iramba na wataalamu mbalimbali katika ziara ya kukagua mradi wa uchimbaji wa visima kata ya Mgongo tarafa ya Shelui wilayani Iramba.

Akizungumza na kamati ya maji, Profesa kitila amemwaagiza mkandarasi pamoja na wataalamu wote wanaoshiriki kutekeleza mradi huo wasiwe kikwazo cha mradi huo kutokamilika kwa wakati na kufanikisha lengo la kumaliza kero ya maji kwa wakazi wa Kiomboi.

“Visima hivi vinatarajiwa kulisha mji wa Kiomboi pamoja na vijiji ambavyo vitapitwa na mradi huu, Lengo la mradi ni kuwapatia wananchi huduma ya maji safi na salama pamoja na kuboresha Afya na kuinua shughuli za kiuchumi za Wananchi, jukumu la wananchi watoe ushirikiano katika kutunza miundo mbinu iliyopo alisema Profesa Kitila.

Aliongeza kusema “Mradi huu una awamu mbili, awamu ya kwanza ya uchimbaji visima ambavyo vinagharimu kiasi cha Shilingi million 300 na mkandarasi wake ni wakala wa serkali wa ujenzi wa mabwawa na uchimbaji wa visima (DDCA) ambayo ni taasisi ya serikali na msimamizi wa mradi ni kampuni ya Don consult ltd.

Awali mradi huu tulitarajia ukamilike mwezi Januari 2019 lakini nimetembelea hapa na nimepata Maelezo ya wataalamu sasa tutalazimika kuongeza muda hadi Machi 2019 kutokana na Jiolojia walioikuta wataalamu katika uchimbaji wa visima, hata hivyo nimewaagiza kwamba wahakikishe mradi huu unakamilika mapema kwa sababu hii ni awamu ya kwanza tu na wamu ya pili ni mradi ambao utasanifiwa kwa ajili ya kusambaza maji kwa ajili ya kuelekea mji wa Kiomboi na vijiji ambavyo vitapitwa na mradi huu Alisisitiza Profesa Kitila.

Aidha Mradi wa pili utagharimu kiasi cha Shilingi bilioni 9 hadi billion 12, sasa hii awamu ya pili ndiyo kubwa lakini utekelezwaji wake unategemea kukamilika kwa mradi huu wa wamu ya kwanza na ilikuwa muhimu sana tufike hapa tuweze kutia msukumo, tunashukuru kwamba awamu ya kwanza ya uchimbaji wa kisima hiki kinaonesha kuna maji mengi, wataalam wameona kwamba maji ni ya kutosha takribani lita elfu 80 hadi laki 1 kwa saa ambayo yanatosha na ni mengi, tunarajia watakapopima yatakuwa maeneo haya na mpaka sasa wamechimba mita 106, lengo lilikuwa ni kufika mita 150 nadhani haitafika nadhani maji yameisha patikana  alisema Profesa Kitila.

Announcements

  • TANGAZO KUHUSU UJIO WA MADAKTARI BINGWA HOSPITALI YA WILAYA YA IRAMBA-KIOMBOI February 20, 2026
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.