• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Kikao cha baraza la madiwani (full council) katika halmashauri ya wilaya ya Iramba chafanyika leo.

Posted on: July 11th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Dkt Rehema Nchimbi ameungana na baraza la madiwani (fullcouncil) la Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kwenye ukumbi wa Halamshauri.  Baraza hilo limeongozwa na Mweneyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba, Diwani wa CCM Kata ya Urughu Mhe. SimionTiyosera kujadili mambo mbalimbali.

Dkt.  Nchimbia kizungumza kwenye braraza la madiwani, amepongeza Halmashauri ya wilaya ya Iramba kupata hati Safi. 

Aidha Dkt. Nchimbi amewaomba watendaji wote kushirikiana na kuwa na mshikamano kwa ajili ya kutatua changamoto za Wananchi wa wilaya ya Iramba. Alisema watendaji wote wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba tusisubiri kuharibikiwa ili tulaumiane haisadii chochote.

Vilevile Dkt. Nchimbi aliwaomba watendaji wote wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba kusimamia vema uchimbaji wa Dhahabu, kilimo chazao la Pamba na ziwa Kitangiri ili vinufaishe wilaya ya Iramba.

Mkuu wa wilaya Mhe. Emanuel Luhahula akizungumza kwenye baraza la madiwani aliwaomba watendaji  wote wa Halmashauri kufanya kazi kwa ushirikiano ili kutatua changamoto zilizopo kwenye wilaya  ya Iramba.

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Iramba Mhe.Simion Tiyosera akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani. Baadhi yamadiwani wa halmashauri ya wilaya ya Iramba wakifatilia mijadala kwenye kikaohicho.  

 Baadhi ya Madiwani wa wilaya ya Iramba wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Mwl. Linno Mwageni akizungumza katika kikao cha baraza la Madiwani wa Halamshauri. 

Baadhi ya watendaji wa Halmashari ya wilaya ya Iramba wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Mkoa wa Singida.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.