• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Kikao cha Tathimini ya mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.

Posted on: August 20th, 2018

Mkuuwa Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Emmanuel Luhahula amezipongeza kamati mbalimbali zilizoshirikiana kukamilisha zoezi zima la upokeaji wa mbio za mwenge wa Uhuru kitaifa, wilayani hapa mwezi Agosti 12,  2018..

Mhe, Luhahula ameyasema hayo leo kwenye kikao cha Tathimini ya Mwenge kilichohusishaU wasilishwaji wa kamati zote za Wilaya zilizoshiriki katika kufanikisha zoezi zima la Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Wilayani Iramba Asilimia Mia moja.

“Sikuzote huwa nawaambia wakuu wangu wa idara na wataalamu, leo mimi ni Mkuu wa Wilaya, lakini tukikaa hapa na kuanza kuonyesha vyeti huenda wengi wananizidi. Kwahiyo siyo kwasababu wewe upo kwenye Kata hautoi ushirikiana kwenye Wilaya. Tunachojaribu hapa ni kushirikiana na kujenga umoja wetu. Umoja wetu ndio ushindi wa Iramba, ndiyo mafanikio yetu.” Alisisitiza Mhe, Luhahula.

Mheshimiwa Luhahula amewataka Viongozi wa Halmashauri na watendaji wa Kata kushirikiana nakuhakikisha wanasimamia vizuri mapato ya fedha wanayoyapata na kuyakusanya kupitia vyanzo mbali mbali vya mapato.

Aidha ameongeza kusema “Kama watendaji wa Kata wakisimama vizuri kabisa, basi Halmashauri haiwezi kupata uhaba wa fedha, na vile vile kama Halmashauri ikiwasimamia vizuri watendaji Kata basi kila kitu kitakwenda sawa.” 

Mhe, Luhahula amempongeza aliyekuwa Mratibu wa mbio za Mwenge wa Uhuru Wilaya ya Iramba Ndg, Mashaka Mabuyu kwa mafanikio makubwa aliyoyapata katika kipindi chake cha uongozi wa takribanimiaka 11. 



Wanakamati walioshiriki katika kufanikisha zoezi zima la Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2018 wakiwa kwenye picha ya pamoja.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.