• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE JIONGEZE TUWAVUSHE SALAMA NGAZI YA HALMASHAURI KWA ROBO YA PILI KUANZIA MWEZI OKTOBA HADI DISEMBA 2024

Posted on: January 22nd, 2025

KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE JIONGEZE TUWAVUSHE SALAMA NGAZI YA HALMASHAURI KWA ROBO YA PILI KUANZIA MWEZI OKTOBA HADI DISEMBA 2024.


Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda ameongoza kikao Cha tathmini ya mkataba wa lishe jiongeze na tuwavushe salama kilichofanyika Januari 22,2025 kwenye Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri


DC Mwenda amepongeza mafanikio katika usimamizi na utekelezaji wa suala ya lishe wilayani Iramba hasa utoaji wa chakula shuleni ambapo jumla ya shule 140 sawa na asilimia 100 zimefanikiwa kutoa chakula kwa wanafunzi angalau mlo momja kwa siku, na jumla ya wanafunzi 76107 (99.57%) kati ya 77211 wanapata chakula cha mchana muda wawapo shuleni.


Aidha Mwenda ametoa wito kwa Watumishi wa idara ya Afya kuendelea kuwahudumia kwa upendo akina mama Wajawazito na kutoa Elimu ya lishe kwa Jamii inayowazinguka


"kubwa lingine ambalo tumeendelea kuhamasishana na bado halijafanyika kwa kiwango likubwa ni kuhusu kuwa na bustani za mboga mboga kwenye shule zetu, bado shule nyingi kwenye suala la bustani za mboga mboga limekwama. Kwa pamoja tunahitaji kuongeza juhudi ili kuhakikisha kwamba shule zetu hizi zinazalisha mboga kwaajili ya watoto kutumia pale shuleni." Amesema DC Mwenda


Kwa upande wake Afisa Lishe Wilaya ya Iramba Bi. Naomi Sillah amesema kuwa kwa kipindi Cha robo ya pili Mama Wajawazito 11979 (99.6%) kati ya 12027 walihudhiria kliniki ya uzazi na mtoto, kupewa vidonge vya kuongeza damu vya madini chuma na asidi ya Foliki.

Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.