• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Kikao cha watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Kuboresha Utendaji Kazi na Kushughulikia Kero za Watumishi.

Posted on: July 25th, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba Mwl. Linno Mwageni akiwa na Afisa utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Iramba Ndg. B’hango Lyangwa wamekutana na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Kuboresha Utendaji Kazi na Kushughulikia Kero za Watumishi

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba Mwl. Linno Mwageni akizungumza na Watumishi katika kikao kazi kilichofanyika leo tarehe 24 julai 2018 katika ukumbi wa Halmashauri aliwaasa watumishi kutoa huduma kwa kuzingatia weledi na kuwajibika katika nafasi zao kwa kutokuwa na ubaguzi kwa Wananchi tunaowahudumia.

Aidha ameongeza kusema kuwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba wanatakiwa kuzingatia mkataba wa huduma kwa mteja pale wanapohudumia wateja na kushughulikia kero za wananchi kwa wakati.

Afisa utumishi wa halmashauri ya wilaya ya Iramba Ndg. B’hango Lyangwa amewaomba watumishi kuwa wavumilivu wakati taarifa zao zinarekebishwa, kwa waliokaribia kustaafu na wale ambao wanastahili kupandishwa vyeo ili walipwe stahili zao kabla ya kustaafu, huku akiwataka wale waliokwisha staafu wakiwa na barua za kupandishwa vyeo kujaza fomu kupitia kwa mwaajiri wao ili waweze kupata stahili zao kwani hakuna haki na stahili ya mtumishi wa umma itakayopotea.

Ndg. B’hango Lyangwa amewataka watumishi wote kujisajili katika tovuti ya watumishi (watumishi portal) ili wawe na uwezo wa kuona taarifa zao za kiutumishi na kuweza kufuatilia masuala yao ya kiutumishi yamefikia katika hatua gani.

Ndg. B’hango Lyangwa amewahakikishia watumishi kuwa taarifa zote za kwenye mfumo zinakua ni taarifa safi na zilizo kamilika kwa kuhakikisha kwamba watumishi wana tarehe kamili na sahihi za kuzaliwa, tarehe zao za ajira, tarehe zao za kila mara walipopandishwa vyeo, taarifa zao za mifuko kwenye hifadhi ya jamii, sifa zao za kielimu, vyeo walivyonavyo pamoja na masuala mengine.


Baadhi ya watumishi kutoka katikaHalmashauri ya Wilaya ya Iramba wakifuatilia kwa makini yaliyokua yakiendelea wakati wa Kikao katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba leo.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.