• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

KITENGO CHA WAGONJWA MAHUTUTI (ICU ) HOSPITALI YA WILAYA YA IRAMBA CHAONGEZA UFANISI WA HUDUMA ZA AFYA

Posted on: March 27th, 2025

Kitengo cha Wagonjwa Mahututi (ICU) katika Hospitali ya Wilaya ya Iramba, kilichopo Old Kiomboi, kimeanza kutoa huduma kwa mafanikio makubwa baada ya Serikali ya Awamu ya Sita kutenga Shilingi milioni 250 kwa ajili ya ujenzi wa jengo jipya na ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa.


Uanzishwaji wa ICU hiyo umekuwa hatua muhimu katika kuboresha huduma za afya wilayani, ambapo huduma zilianza rasmi mwezi Oktoba 2024. Kuwepo kwa vifaa tiba vya kisasa, kama mashine ya umeme wa moyo (defibrillator) na vifaa vingine vya hali ya juu, kumewezesha hospitali kutoa huduma ambazo hapo awali zilipatikana tu katika hospitali za rufaa au za mikoa.


Nicodemus Dickson Nduche, mtaalamu wa huduma za dharura na wagonjwa mahututi, alisema kuwa uwekezaji huu umeleta mabadiliko makubwa katika utoaji wa huduma za afya wilayani.


*"Zamani huduma hizi zilikuwa zinapatikana katika hospitali kubwa pekee, lakini sasa wagonjwa wanapata matibabu hapa hapa wilayani. Tunamshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha kwa ajili ya ujenzi wa jengo hili na ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa. Wagonjwa wanaridhika na huduma tunazotoa,"* alisema Nduche.


Tangu kuanzishwa kwa ICU hiyo, tayari wagonjwa 12 wamepokea matibabu, hatua inayoonyesha umuhimu wa uwekezaji huu katika kuokoa maisha. Uboreshaji huu wa huduma za afya unatarajiwa kupunguza rufaa za wagonjwa kwenda hospitali za mikoa na rufaa, na hivyo kuokoa muda na gharama kwa wananchi wa Iramba.

Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.