• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

KUTOKANA NA RUFAA NYINGI ZA WAGONJWA WANAOHITAJI KUPEWA, TUMEONA TUWEKE KAMBI YA SIKU NNE YA MADAKTARI BINGWA

Posted on: April 22nd, 2024

"Mimi mkuu wenu wa Wilaya kutokana na changamoto mbalimbali tunazozipokea, tunaposikiliza na kutatua kero za wananchi na wakati mwingine zinakuja  moja kwa moja ofisini kwangu tukaona upo umuhimu wa kuweka kambi ya siku nne ya Madaktari bingwa  ambao watatoa huduma za kibingwa hapa hapa Wilayani kwetu "  Mwenda amesema.

"Kwa hali hiyo kwa kweli tunazo Rufaa nyingi sana kwa watu wetu wanaotoka katika vituo vyetu hapa Wilayani na wanaotaka kwenda Hospitali kubwa zenye Madaktari bingwa, Kwa Mwaka Jana, Zaidi ya watu 138 walifika Hospitali kwa kupewa Rufaa, Hivyo ukipiga mahesabu kwa mwezi  karibu watu 14 wanapewa Rufaa na wengine 59 hadi 60 wanaohitaji matibabu ya Kibingwa hivyo tumeona tuwapunguzie Mzigo kwa kuwaletea hawa Madaktari bingwa ili watu hawa watibiwe wakiwa Wilayani kwao" Ameongeza , DC Mwenda.

Mkuu wa Wilaya ambaye alikuwa Mgeni rasmi katika uzinduzi wa Kampeni ya matibabu ya Madaktari bingwa pia amesema " Ni mshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassani kwa kazi kubwa anayoifanya  katika kuboresha na kuimarisha Sekta ya Afya kote Nchini, Sisi katika Hospitali yetu ya Wilaya ametupatia Vifaa kwa Mwaka Jana , Vifaa 129 ambavyo hata vingine bado havina wataalamu wa kuvitumia vyenye thamani ya zaidi ya Tsh. Bilioni moja Milioni Mia nne themanini na moja".

Akitoa taarifa kwa Mgeni rasmi Kaimu Mganga Mkuu Wilaya Daniel Paul amesema wao katika Hospitali ya Wilaya Wanamuunga mkono  Rais Samia kwa kazi kubwa ya kuboresha Miundombinu ya Afya  kwani Mwaka wa fedha 2023/2024 walipokea  vifaa vyenye thamani ya Bilioni moja na Milioni Mia nne themanini na moja, na siyo hivyo  tu "Mheshimiwa bali tunao mtambo Mkubwa wa Kuzalisha hewa ya oksijeni ambao uko mbioni kuanza kufanya kazi"  Amesema Daniel.

Naye Daktari Bingwa George Kanani  ambaye ni Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Jumla kutoka Bugando amesema lengo Lao ni kusogeza huduma za kibingwa, Kiomboi ili kusaidia wananchi wenye mahitaji ya Kibingwa ili wananchi waweze kupata huduma bora, amesema huduma hiyo ni endelevu hivyo wananchi wasipate mashaka kwa hilo.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.