• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mhe, Emmenueli Luhahula akiongea na wadau wakusanyaji wa mapato katika kikao kazi. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji Linno Mwageni, wamwisho kulia ni Meneja wa TRA na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Halmashauri Simion Tiyosera. Picha na Hemedi Munga

Posted on: August 21st, 2019

Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz


Iramba. Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula amemuagiza Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Simion Tiyosera kuchukua hatua zidi ya watumishi wafujaji wa mapato ya Halmashauri ambao wanaikwamisha Halmashauri.

Luhahula ameyasema hayo katika kikao kazi leo Agosti 21, 2019 katika ukumbi wa Halmashauri wilayani Iramba na kuwataka takukuru kuchunguza kwa kina pamoja na kuwachukulia hatua wale wote wanaofuja na kukwamisha mapato ya Halmashauri.

Hatua hiyo inawajengea watumishi ari ya kazi inayoongeza mapato ya Halmashauri na kuifanya Halmashauri kutimiza malengo yake. Ameongeza Luhahula

Akiongea katika kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri, Simion Tiyosera amesema wanatumia sheria mama kuanzisha chanzo cha mapato kwa kuchukua asilimia tano  kukusanya mapato yanayosimamiwa na wasimamizi wa mapato ambapo umeifanya Halmsahauri ya Iramba kutembea katika reli  kati ya halmsahuri  saba mkoani Singida.

Tiyosela amewasifu wakusanyaji wa mapato wanaoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji, Linno Mwageni na Mweka Hazina na timu yake kwa kuweka mianya ya kuzuia rushwa kwenye ukusanyaji wa mapato kwa kuweka kwenye kila kijiji mtendaji mwenye POS anayekusanya mapato na pesa hiyo inapofika Halmashauri mtendaji anarudishiwa asilimia 20%.

Akiongea katika kikao hicho mkuu wa takukuru wilayani Iramba, Deo Mtui amewataka watumishi wa Halmashauri ya Iramba kuzaliwa upya kudhibiti na kuziba mianya ya rushwa.

Hatua hiyo utaifanya Halmashauri kukusanya mapato yake yatakayosababisha kuunga mkono juhudi za Mh, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli kuipeleka nchi katika uchumi wakati. Aliongeza Mtui

Mtui ameitaja mianya ya rushwa ambayo kwa mujibu wa sheria ya kupambana na kuzuia rushwa inachangia uwepo wa rushwa kwa wadau wanaotoa huduma na wale wanaopokea huduma. Huku akiwataka watumishi kujiepusha na mianya hiyo.

Amebainaisha mianya hiyo  inayotokana na sheria mbovu za ukusanywaji wa mapato katika wilaya ya  Iramba, mwanya wa rushwa unaotokana na ufanisi mbovu wa mifumo ya kieletroniki katika ukusanyaji wa mapato wilayani Iramba, mwanya wa rushwa unaotokana na sababu za kutofikia kwa malengo ya ukusanyaji wa mapato.

Huku akimalizia kutaja mwanya wa rushwa unaotokana na mmomonyoko wa maadili kwa baadhi ya watumishi wanaosimamia ukusanyaji wa mapato na kukosekana mikakati ya kuzuia rushwa katika Halmashauri ya wilaya ya Iramba.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.