• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mawaziri sita walioko kwenye kamati maalumu iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassani,Kushughulikia migogoro ya ardhi ikiongozwa na mwenyekiti wake Waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mhe. William Lukuvi Imefika wilayani Iramba Mkoani Singida.

Posted on: October 8th, 2021

Mawaziri sita walioko kwenye kamati maalumu iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassani,Kushughulikia migogoro ya ardhi ikiongozwa na mwenyekiti wake Waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mhe. William Lukuvi Imefika wilayani Iramba Mkoani Singida kutoa ujumbe wa Rais juu ya vijiji vitano vilivyokuwa na migogoro na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Akiongea  hayo mbele ya mkutano mkubwa wa wananchi waliojitokeza kwa wingi katika Kijiji cha Mseko Waziri  Lukuvi amesema kwa kipindi kirefu wananchi wa vijiji hivyo kikiwemo  Kijiji cha  Masimba,Wembere,Nselembwe,Kizonzo na Mseko  kuwa  hawatahama kwenye vijiji vyao  Kama ambavyo ilisemekana hapo awali.

.Aidha Waziri Lukuvi amesema kuwa timu ya wataalamu ipo itakayokuja Singida kuja kuaapanga vizuri lakini hakuna atakayehama katika vijiji hivyo.

Lukuvi ameeleza kuwa Rais Samia Suluhu Hassani ameagiza kuwa hapana Kiongozi yeyote  wa serikali atakayeleta taharuki yoyote   kwa wananchi wa vijiji hivyo juu ya agizo lake na kuwataka  wataalamu wa serikali wapange maeneo yote ambayo siyo hatarishi ili wananchi wa maeneo hayo waweze kufanya shughuli zao za ufugaji katika eneo Hilo la Wembere kwa vijiji vyote vitano.

Hata hivyo Waziri Lukuvi amewataka wananchi wa vijiji hivyo kuacha tabia ya kwenda kuvamia maeneo mengine ambayo yatatengwa kwa ajili ya serikali kuyalinda kwa ajili ya vizazi vijavyo,Kwani kila Kijiji kitawekewa mipaka yake pamoja na alama,hivyo waheshimu.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Maliasili na utalii mhe. Mary Masanja amewataka wananchi wa vijiji hivyo kuacha tamaa ya kukata miti na kuvamia maeneo hayo na badala yake wayatunze kwa sababu  yanatunza maji na wakiyamaliza watakufa njaa.

Aidha Naibu Waziri Masanja amewaasa wananchi hao wayatunze  na kuyatumia vizuri maeneo hayo,Hasa wake wenye Ng'ombe,Mbuzi na kondoo wachunge vizuri na maeneo mengine.Waiache serikali iwatunzie kwa ajili ya vizazi vingine .

Naye mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Singida Alhaji Juma Hassani Kilimba amewataka wananchi wa vijiji hivyo kukaa na kutulia Kama serikali ilivyoelekeza kupitia kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassani,Kwamba utaratibu mzima utafuatwa na utapangwa vizuri na watambue kuwa serikali hii inawajali wananchi wake,na hawatahama,Pia Chama Cha Mapinduzi ndiyo kilivyoagiza hivyo.

Mwisho.

Imeandaliwa na

Ahmed Makame

0739828236

Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.