• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA TSH BIL. 4.151 WILAYANI IRAMBA MKOANI SINGIDA; IMEFUNGULIWA NA MINGINE KUWEKEWA MAWE YA MSINGI NA MWENGE WA UHURU SEPTEMBA 22 MWAKA HUU.

Posted on: September 23rd, 2023

MIRADI YA MAENDELEO  YENYE THAMANI YA TSH BIL. 4.151 WILAYANI IRAMBA MKOANI SINGIDA; IMEFUNGULIWA NA MINGINE KUWEKEWA MAWE YA MSINGI NA MWENGE WA UHURU SEPTEMBA 22 MWAKA HUU.

Mwenge wa Uhuru  Ulioanza Mbio zake katika Wilaya ya Iramba Mkoani Singida  Ukitokea Mkoa wa Tabora ,Na katika mbio zake katika Wilaya ya Iramba  Mwenge wa Uhuru Ukiongozwa na Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndg Abdallah Shaib Kaimu ameweka jiwe la Msingi  shule ya Msingi  Ishanga  pamoja na Kutembelea mradi wa upandaji miti  na hifadhi  ya mazingira Kijiji Cha Mseko A.


.Aidha Mwenge wa Uhuru Umezindua Mradi wa Masijala ya Ardhi katika Kijiji Cha Masagi kilichopo Kata ya Mtoa Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba Mkoani Singida; Na kuvunja Rekodi Katika Mkoa wa Singida  Kijiji kuwa na Mradi wa Masijala ya Ardhi Kwa lengo la Kurasimisha Rasilimali na Biashara Tanzania yaani ( MKURABITA).


Afisa Ardhi Mkuu na mkuu wa  Idara ya Ardhi Wilaya ya Iramba  Magesa Aspeas Magesa  akitoa maelezo Kwa Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kiTaifa Abdallah Shaib Kaimu Amesema kuwa ; mradi huo Utawezeaha Kijiji kutoa Huduma Kwa Ukaribu Kwa Wananchi Wa kijiji hicho pia Kwa Watanzania wote.


Magesa Ameongezea kuwa hii ni kuongeza Tija katika kutoa Huduma za kijiji kuboresha Huduma za  Uihifadhi wa Nyaraka za Ardhi na kusogeza Huduma za Ughani za Kilimo, mifugo, Misitu, na Nyuki Katika ngazi ya kijiji.


Amesema h Mradi huo umegharimu Tsh Mil.64 ikiwepo na michango ya Wananchi milioni 3. Ameongeza kuwa matumizi halisi ni Tsh Mil.55.159 .Ambazo kati ya hizo  Tsh M3 ni michango ya Wananchi na Serikali kuu ni M.52 .159 na kubakiwa na Salio la Tsh m.8.84. Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Abdallah Shaibu Kaimu Uzindua na kuusifia lakini ametoa sku mbili kuhakikisha wamemalizia mapungufu yaliyosalia.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.