• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Linno Mwageni amewaonya Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kituo kutumia uzoefu katika uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Picha na Hemedi Munga

Posted on: October 23rd, 2019

By Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Linno Mwageni amewataka waajiriwa wote walioteuliwa kushiriki zoezi la kitaifa kuto kuwa kikwazo cha utekelezaji wa zoezi hilo kwa wakati.

Mwageni ameyasema hayo leo Jumatano Oktoba 23, 2019 wakati wa mafunzo ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura yaliofanyika katika ukumbi mkubwa wa Halmashauri hiyo.

Akiongea katika mafunzo hayo, Mwageni amewataka Maafisa waandikishaji wasaidizi na BVR Kit Operator kutotumia uzoefu ambao mara nyingi hupelekea kuharibu kazi kwa kuwa kazi hii sio ya mwaka ule ni mpya.

“Usije ukafananisha mwaka ule nilifanya hivi, hata mashine ni tofauti na zinazotumika mwaka huu.” Aliongeza Mwageni

Maafisa waandikishaji wasaidizi na BVR Kit Operator wametahadharishwa  kutokuaribu kazi wala kuiba kifaa chochote katika vifaa ambavyo watapewa kufanyia kazi hiyo.

“Tahadhari ! mnakwenda kufanya kazi muhimu, kazi ya kitaifa ambayo Taifa limegaramia garama kubwa, msiwe  sehemu ya kuharibu kazi , mtakabidhiwa vifaa vya kufanyia kazi, mvitunze hivyo vifaa, usiingie tamaa ya kifaa chochote ulichokabidhiwa, utakabidhiwa kwa maandishi na utarudisha kwa maandishi, ukiharibu utawajibika kisheria” Alisema Mwageni

Aidha amewataka  maafisa hao kutambua kuwa kila kazi inamsemaji na kuwataka wasiwe wasemaji mahala ambapo hawatakiwi kusema ispokuwa kwa maelekezo.

Kwa upande wake Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Iramba na Mkalama, Makwaya Charles amewataka maafisa waandikishaji wasaidizi na BVR  Kit Operator kuwa waadilifu na waaminifu katika kazi hiyo.

 

Aidha amewaambia viapo vyao walivyoapa viwapelekee kuyatekeleza yale yaliyomo ndani ya viapo hivyo huku akitolea mfano wa kuapa kwa kutumia katiba ya nchi.

“Unapoapa  kwa katiba ya nchi, huapi kuheshimu ganda la juu, unakula kiapo kuyatumikia na kulinda yaliomo ndani ya katiba kwa maana yake tume imekuamini sana kulitekeleza jukumu hilo.” Alisema Charles

 

Amewaomba watumishi hao kutunza siri na kuwasiliana na watu sahihi huku akiwataka kutokuwapa taarifa wasio husika katika kazi hiyo.

Akiongea katika semina hiyo kwa niamba ya washiriki wote Mwenyekiti wa semina hiyo, Mtendaji wa Kata ya Ndago , Ndugu Gerege amemuhakikishia mgeni rasmi kuwa watatekeleza majuku hayo kwa mujibu wa maelekezo ambayo wanapatiwa na wakufuzi wao.                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                              Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kituo wakifuatilia mafuzo wakati wa semina ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba. Picha na Hemedi Munga                                                                                                                                                                                     


Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kituo wakifuatilia mafuzo ya vitendo ya BVR Kit Operator  wakati wa semina ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • KIDATO CHA KWANZA KURIPOTI SHULE January 13, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA ELIMU KATA 136 MKOANI SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHULE NA UJAZAJI TAKWIMU KATIKA MFUMO WA "SIS"

    March 24, 2025
  • DC MWENDA AWASISITIZA WALIPA KODI KUFANYA MAKADIRIO YA KODI KABLA YA MACHI 31, 2025

    March 20, 2025
  • DC MWENDA NA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA WACHANGIA JUMLA YA MADAWATI 98 SHULE YA MSINGI MSANSAO ILIYOPO KATA YA MTEKENTE

    March 10, 2025
  • WALIMU WAKUU 108 WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA 20 WILAYANI IRAMBA WAPEWA MAFUNZO ENDELEVU YA USIMAMIZI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI FANISI KUPITIA JUMUIYA ZA KUJIFUNZA ZA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA

    March 19, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.