• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Linno Mwageni amefanya ziara ya kushitukiza kukagua ujenzi wa stendi ya mabasi kijiji cha Misigiri Wilayani Iramba

Posted on: March 11th, 2020

Hemedi Munga, Irambadc

tehama@irambadc.go.tz

Iramba. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Linno Mwageni amefanya ziara ya kushitukiza kukagua ujenzi wa stendi mpya ya mabasi ya Misigiri inayojengwa kijiji cha Misigiri kata ya Ulemo.

Linno amefanya ziara hiyo leo Jumatano Machi 11, 2020 katika eneo ambalo linajengwa stendi mpya ya mabasi ya Misigiri  kijiji cha Misigiri kata ya Ulemo Wilayani Iramba Mkoa wa Singida.

Ujenzi wa Stendi mpya ya mabasi ya Misigiri umefika hatua ya umwagaji wa kifusi kilichosambazwa na kushindiliwa katika maeneo ambayo mabasi yatakua yanapita.

Kasi ya ujenzi huo imeongezeka kufuatia agizo  alilolitoa Machi 5 mwaka huu akiwa na  Kamati ya Fedha Mipango na Utawala ya Halmashauri hiyo,

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Simion Tyosela  kumuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Linno Mwageni kuongeza kasi.

 

Halikadhalika  barabara ya kuchepuka wakati wa kuingia na kutoka katika stendi hiyo imeanzwa kuchongwa.

Stendi mpya ya mabasi ya Misigiri inatarajiwa kutumia takribani Sh11.81 milioni  kukamilisha ujenzi huo.

Mpaka sasa ujenzi umepita  hatua ya  lenta ambapo zaidi Sh5.9 milioni zimetumika kujenga choo chenye matundu matatu ya wanaume na matundu matano ya wanawake.

Aidha wametakiwa waliopewa vibanda kulipa Sh50,000 ili kukamilisha ujenzi kwa wakati na kwamba wale wote watakochelewa kulipia watanyanganywa vidanda na kuwapa wale watakaokuwa tayari kulipia kwa wakati.

Katika eneo hilo  kunatarajiwa  kujengwa jengo la kupumzikia abiria, kibada cha polisi na hoteli kubwa.

MWISHO

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba akielekeza jambo wakati akikagua ujenzi wa stendi ya mabasi kijiji cha Misigiri wilayani Iramba. Picha na Hemedi Munga

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Linno Mwageni wakwanza kulia akifafanua jambo kuhusu ujenzi wa stendi ya mabasi kijiji cha Misigiri Wilaya Iramba. Picha na Hemedi Munga


Announcements

  • TANGAZO KUHUSU UJIO WA MADAKTARI BINGWA HOSPITALI YA WILAYA YA IRAMBA-KIOMBOI February 20, 2026
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.