Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mh. Emmanuel Luhahula Kulia na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Iramba na Uongozi wa Mkoa wa Singida na Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya Iramba wakikagua Kituo cha kukusanya Takwimu za hali yahewa, Kilichopo shule ya sekondari Tumaini Kata ya Kinampanda Tarafa ya Kinampanda Wilaya ya Singida. Kituo hicho kinatoa Takwimu za Mvua, Takwimu zaJotoridi, Takwimu za Mvukisho,Takwimu za Unyevunyevu, Nguuvu ya Jua Pia Kinatuma Takwimu moja kwa moja Wizara ya Maji.

Mkuu wa Mkoa Dkt. Rehema Nchimbi, akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe. Emmanuel Luhahula na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba pamoja na Viongozi Mbalimbali wakiwa kwenye Picha ya Pamoja na Walimu wa Shule ya Sekondari Tumaini Katika Eneo la Kituo cha Kukusanya Takwimuza hali ya Hewa Katika Shule ya Sekondari Tumaini Kata ya Kinampanda Tarafa ya Kinampanda Wilaya ya Iramba Mkoawa Singida

KIOMBOI, IRAMBA
Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA
Telephone: 026 - 2532253
Mobile: 026 - 2533001
Email: ded.irambadc@singida.go.tz
Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.