• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Comments |
Iramba District Council
Iramba District Council

The United Republic of Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Iramba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt, Rehema Nchimbi, amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kinampanda kilichopo kijiji cha Kyalusangi Wilaya ya Iramba.

Posted on: September 12th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt, Rehema Nchimbi, amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kinampanda kilichopo kijiji cha Kyalusangi Wilayaya Iramba, 

Dkt Nchimbi, amewaasa Wananchi wa eneo hilo kuendeleza ushirikiano kwa pamoja katika kuhakikisha ujenzi wa majengo hayo katika kituo cha afya Kinampanda yanakamilika katika muda sahihi iliyaweze kuanza kutumika kutolea huduma za Afya kwa wananchi.   

Amewataka viongozi wa nyazifa mbali mbali wakiwemo, Diwani, Watendaji na Wenyekiti wa vijiji na vitongoji, kuwahamasisha wananchi wao kwa nguvu ya pamoja ilikuhakikisha wanashirikiana katika zoezi hili la ujenzi wa kituo cha afya cha Kinampanda.

Dkt, Nchimbi amesema kwamba, ucheleweshwaji wa ujenzi katika majengo hayo kutakwamisha mambo mengi muhimu katika huduma za afya ikiwemo huduma hiyo kuchelewa kuwafikia wananchi.

Diwani wa Kata ya Kinampanda(CCM), Mhe. Justus Makala amewaasa wananchi wake kutoa michango ya elfu Thelathini kwa kila Kaya ili kumalizia kazi ya ujenzi katika kituo hicho cha Afya.

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi ameweza kuchangia Shilingi Laki mbili kuunga mkono wananchi wa Kinampanda kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya hicho.

Mkuu wa mkoa Dkt, Rehema Nchimbi akiongea na wananchi wa Kyalosangi kwenye ziara ya kukagua Maendeleo ya mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Kinampanda.

Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 02, 2026
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • View All

Latest News

  • MAONESHO YA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO (MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA DISEMBA 29-30, 2025

    December 28, 2025
  • HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI NA MWAKA MPYA 2026

    December 25, 2025
  • DC MWENDA AWATAKA WALIMU IRAMBA KUONGEZA UBUNIFU NA BIDII KUINUA UFAULU

    December 09, 2025
  • HERI YA MIAKA 64 YA UHURU WA TANZANIA BARA

    December 09, 2025
  • View All

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
More Videos

Quick Links

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Related Links

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    KIOMBOI, IRAMBA

    Postal Address: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Telephone: 026 - 2532253

    Mobile: 026 - 2533001

    Email: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.