• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

Mkuu wa mkoa wa Singida Mhe: Peter Joseph Serukamba amehamasisha na kuelimisha wananchi umuhimu wa kuendelea kupanda na kutunza miti katika shule ya sekondari Maluga Wilaya ya Iramba leo tarehe 14 Januari 2023.

Posted on: January 14th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe: Peter Joseph Serukamba amehamasisha na kuelimisha wananchi umuhimu wa kuendelea kupanda na kutunza miti katika shule ya sekondari Maluga Wilaya ya Iramba leo tarehe 14 Januari 2023.

Upandaji miti una mchango mkubwa katika maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kimazingira. Miti hulinda vyanzo vya maji na kuzuia mmomonyoko wa udongo. Vile vile husaidia kunyonya hewa ukaa na hivyo kuchangia katika juhudi za kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabia nchi.

Akiongea na wananchi amesema, “Kwanza nichukue nafasi hii kuwashukuru mmejitokeza kupanda miti,nia yetu kila nyumba ipande miti minne na lazima tupande maeneo yote ya zahanati , vituo vya afya, shule zote za misingi na sekondari na kwenye barabara zote tupande miti

Ndugu zangu ninawahamasisha wananchi wote kuendelea kupanda miti hasa katika kipindi hiki cha mvua, kuitunza, na kuihifadhi, jambo hili ni la msingi sana, tunapanda miti kwa sababu tunataka kulinda mazingira yetu,tunapanda miti katika maeneo yetu kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo, tunapanda miti kwasababu ya kupambana na mabadiliko ya tabia nchi, mabadiliko ya tabia nchi yameletwa na kazi zetu sisi wanadamu za ukataji wa miti usio endelevu, mioto kichaa, na upanuzi wa mashamba. Hivyo, ili kuziba pengo la miti inayopotea tunatakiwa tupande miti ya kutosha, tumesababisha kuwepo kwa joto kubwa duniani, kwa sasa hatupati mvua kama tulivyokuwa tunapokea, sasa tunalojukumu kurudisha tulichokifanya.Amesisitiza Mhe:Serukamba

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe: Suleiman Mwenda akipada miti katika shule ya sekondari Maluga

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi Wilaya ya Iramba Mhe: Samwel Shilla akipada miti katika shule ya sekondari Maluga.

Mwenyekiti wa Halmashuri ya Wilaya ya Iramba Mhe: Innoent Msengi akipada miti katika shule ya sekondari Maluga.

Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Marietha Kasongo akipanda miti katika Shule ya Sekondari Maluga

Wananchi wakishiriki kupanda miti katika shule ya sekondari Maluga Wilayani Iramba.


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • DC MWENDA ATOA WITO KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUIMARISHA UFUNDISHAJI KWA MADARASA YA MITIHANI

    May 06, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WILAYANI IRAMBA LATOA ELIMU YA KINGA DHIDI MAJANGA YA MOTO KWA MADIWANI NA WANANCHI

    May 02, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.