• Malalamiko |
    • Kuhusu sisi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maoni |
Iramba District Council
Iramba District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Sura
    • Maadili ya Misingi
    • Mikakati
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
    • Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Utawala
    • Idara
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Afya
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Idara ya Ardhi na Mipango miji
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mazingira na Usafishaji
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA NA UHUSIANO
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo Cha Ufugaji Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF
    • Muundo wa Halmashauri
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Riport
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
      • Fomu za Maombi kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao Mbalimbali
  • Salary Slip

MKUU WA MKOA WA SINGIDA PETER JOSEPH SERUKAMBA,AMEWATAKA VIONGOZI WA SERIKALI WILAYANI IRAMBA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO KIKAMILIFU.

Posted on: May 16th, 2023


MKUU WA MKOA WA SINGIDA PETER JOSEPH SERUKAMBA,AMEWATAKA VIONGOZI WA SERIKALI WILAYANI IRAMBA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO KIKAMILIFU.

Viongozi wa serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida, wametakiwa kusimamia miradi ya Maendeleo inayotekelezwa Wilayani humo,inamalizika kwa wakati.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Joseph Serukamba wakati wa ziara yake ya Siku mbili ya Kukagua miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo ya Iramba.

Katika ziara hiyo Mei 16,RC Serukamba amekagua miradi 16 ya Maendeleo inayotekelezwa katika Tarafa ya Ndago na Kinampanda ambapo miradi mingi imetekeleza na ipo katika hatua za mwisho huku miradi mingine ikiwa katika hatua za kati na RC Serukamba kuagiza viongozi wa Wilaya kuelekeza nguvu zao Ili miradi hiyo iweze kukamilika kwa wakati uliopangwa.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa Serukamba amemwagiza Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Gunnah Maziku kuelekeza macho yake,kwenye ujenzi wa Shule Mpya ya Ng'anguli itayogharimu jumla ya Tsh. Mil. 493.4 ambao mpaka sasa unasuasua,Huku Matundu ya Vyoo 24 hayajaanza kuchimbwa.

Pamoja na Serukamba kumwagiza Mkurugenzi Mtendaji kuelekeza macho yake hapo lakini Bado Serukamba amemtaka Diwani wa kata hiyo ya Maluga Ramadhani Mbutu kuhakikisha Shule hiyo inakamilika kwa wakati uliopangwa na kumtaka  Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Juveranice Sebastian kuachia Ngazi kama hawezi kusimamia kazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI June 05, 2025
  • ZOEZI LA CHANJO YA KITAIFA YA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE, SOTOKA KWA MBUZI NA KONDOO, NA MDONDO KWA KUKU January 08, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. March 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI IRAMBA October 02, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA IRAMBA MAGHARIBI AWATAKA WAENDESHA VIFAA VYA BVR NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI KUFANYA KAZI KWA WELEDI ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 14, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI (PHC) IRAMBA YAJADILI MIKAKATI YA CHANJO YA POLIO SINDANO YA PILI

    May 09, 2025
  • DC MWENDA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA AMALI KITUKUTU

    May 08, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

wanafunzi wakiimba wimbo wa TAZAMA RAMANI katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika wilayani Iramba
Video Zaidi

Linki za Haraka

  • Organisation Structure
  • Mission and Vision
  • Reports
  • Water Department

Linki Zinazohusiana

  • OFISI YA RAIS-TAMISEMI
  • OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • WATUMISHI PORTAL
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
  • SEKRETARIETI YA AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Kuhusu sisi

    KIOMBOI, IRAMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 155. KIOMBOI-IRAMBA

    Simu: 026 - 2532253

    Simu: 026 - 2533001

    Barua pepe: ded.irambadc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Iramba District Council . All rights reserved.